cha mideko
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 103
- 76
Hahahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijuaje mamii yaani wanatamani wawe Hamissa hawana lolote kwani missa ndiyo wa kwanza? Mwenye kulaumiwa ni mond kwa kutofunga zipuNa hawawezi kumkubali maana visichana vya bongo navyo vyataka nafasi aliyoipata Hamisa kwa Diamond
Sasa mfano tu unategemea Wolper atamkubali Misa wakati njia ya Hamisa nae alipita
Mama unaongea facts tupu tena kama mwanamke unaejua maana ya utu uzimaDiamond angekua wa maana kama angeogopa kufanya ngono na changudoa! Otherwise wote ni machangu tu tofauti zao jinsia maana huwezi kushiriki tendo alafu ukakataa matokeo ya tendo uliloshiriki, Kama Hamisa anakataliwa kwa kua ni Malaya basi hata yeye Mond mamake alikataliwa na mzee Abdul kwa kisa hiko hiko cha umalaya wa Sandra!
Sister agiza upendacho asante saaaaanaWabongo ndio tunakuza hii issue kujifanya kila mtu anajua kuwajadili
Sioni jipya sioni kosa la Hamisa maana ni dhahiri hakuna mtoto asiye na baba hata kama baba huyo kamkataa mtoto hadharani,ila ukweli ni kua damu zao zitasadifu kua ni mtoto wa mwanaume fulani
Jf kila wakati hapa tunawasema ma single mama juu ya kuwapa watoto zao ubini wa baba zao,sasa kuna jipya gani hamissa alimpa mwanae ubini wa babake hata kama baba amemkataa mtoto!?
Zari zari zari,who is Zari? Ni mke halali wa Diamond ama? Hivi jamani wana cheat ma sheikh na wachungaji mpaka kuzaa watoto na bado wake zao hawapewi huruma anayopewa Zari sasa hivi hapa bongo!
Tuache upumbavu ni upunguani kuingilia na kujifanya tunayajua sana ya watu, hivi Dk. Remmy Ongala alikua na watoto wangapi wa nje lakini hakushuka kimuziki mpaka Leo hii Diamond ashuke kwa mtoto aliyezaa na Hamisa?
Tatizo ninaloliona
1.Diamond ana uswahili mwingi sana,yaani pamoja na kupaa kwa pipa kwenda mataifa ya waliyostaarabika lakini bado zile tabia za Tandale hazijamtoka! Zile za kutaka kushindana na kila linalosemwa juu yake
2.Hamisa hataki kushindwa kwa kuonekana anamsingizia Diamond,hivyo anafanya kila limjialo moyoni mwake ili tu aithibitishie Dunia anachokificha Diamond
3.Zari yeye anatafuta huruma ya watanzania kwa kuonekana anaonewa ilihali na yeye mwenyewe alimuiba huyo mwanaume wakati akiwa mikononi mwa mwanamke mwingine
Hamisa ni mvumilivu sana muda wote huo alivyotukanwa na watu mitandaoni, bora alivyovujisha tu walau apumue huko aliko maana inaonyesha alikuwa anadonge kubwa sana moyoni mwakeMi namsifu hamisa kwanza amekaa sana kimya ila kukataliwa mtoto hapana kwa kweli
Wapumbavu hao wanafiki kumuita hamisa Malaya kisa kazaa na daimond?who is zari mpk asiibiwe wapambane na hali ZhaoUlijuaje mamii yaani wanatamani wawe Hamissa hawana lolote kwani missa ndiyo wa kwanza? Mwenye kulaumiwa ni mond kwa kutofunga zipu
Halafu wangejua huyo missa mipango yake ya maisha ni nini wangekaa chini wajicheke[emoji23][emoji23]
Na IPO siku huyo wanaemwita Malaya ndo atakaa pembeni km mkewe, ninaota tuUlijuaje mamii yaani wanatamani wawe Hamissa hawana lolote kwani missa ndiyo wa kwanza? Mwenye kulaumiwa ni mond kwa kutofunga zipu
Halafu wangejua huyo missa mipango yake ya maisha ni nini wangekaa chini wajicheke[emoji23][emoji23]
Am a woman nna watoto mama hebu imagine baba yao angewakataa kama alivyokataliwa Dully kwenye media na zaidi ya yote mama mzaa Dully akatukanwa na matusiMama unaongea facts tupu tena kama mwanamke unaejua maana ya utu uzima
Mbaya zaidi anatukanwa na kila mtu mpk wasiojielewa yaani hakuna bint katukanwa km hamisa mimi namsifu mnooo ila HAPA nimemkubali huyo ndo mzazi mguse mwanawe umjue yy nani!Mtoto anauma saaanaaHamisa ni mvumilivu sana muda wote huo alivyotukanwa na watu mitandaoni, bora alivyovujisha tu walau apumue huko aliko maana inaonyesha alikuwa anadonge kubwa sana moyoni mwake
Ni binti hodari kina wema walimgwaya zari, nae akajipa ununda kwamba diamond kwake hachomoi, yako wapi sasa,Mbaya zaidi anatukanwa na kila mtu mpk wasiojielewa yaani hakuna bint katukanwa km hamisa mimi namsifu mnooo ila HAPA nimemkubali huyo ndo mzazi mguse mwanawe umjue yy nani!Mtoto anauma saaanaa
Inauma navaa viatu vya hamisa havintoshi kabisaa tena Mimi ningefanya worst Mimi Dada kuna risk nimetake kwa my ex husband mpk anajutaaaAm a woman nna watoto mama hebu imagine baba yao angewakataa kama alivyokataliwa Dully kwenye media na zaidi ya yote mama mzaa Dully akatukanwa na matusi
We hyo inaitwa mbwa kala mbwaNi binti hodari kina wema walimgwaya zari, nae akajipa ununda kwamba diamond kwake hachomoi, yako wapi sasa,
Unafanyaje kwa mfano sasa,We hyo inaitwa mbwa kala mbwa
Wanaume wanatuona sisi wanawake kama viumbe Dhaifu sana! walimwengu walitegemea wamuone Misa ana lia lia kama yule mwanamke wa Ney wa Mitego (sijui wanamuita Fay) ambae alijirekodi analia michozi na kamasi juu, ila Mobeto kweli mtoto wa tandika kaonyesha ujasiri wa hali ya juu hata kama analia basi shida zake analilia ndani akitoka nje mkavuuu hahahaInauma navaa viatu vya hamisa havintoshi kabisaa tena Mimi ningefanya worst Mimi Dada kuna risk nimetake kwa my ex husband mpk anajutaaa
Alichofanya sahihi kabisa unakataa mtoto wako?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unapambana na haliUnafanyaje kwa mfano sasa,
Unapaswa kukakamaa safi sana hamisaWanaume wanatuona sisi wanawake kama viumbe Dhaifu sana! walimwengu walitegemea wamuone Misa ana lia lia kama yule mwanamke wa Ney wa Mitego (sijui wanamuita Fay) ambae alijirekodi analia michozi na kamasi juu, ila Mobeto kweli mtoto wa tandika kaonyesha ujasiri wa hali ya juu hata kama analia basi shida zake analilia ndani akitoka nje mkavuuu hahaha
Tabia za kiswahili ni kama watu hawaja enda shule
Mnanishangazaga kumsema zari kama vile ndiye alimtoa wema kwa mond wakati wema alijitoaga mwenyewe kwa kelele za wapambe ambao baada ya kuskia mond kapata mwingine wakageuka na kuanza kumshambulia mond na zariNi binti hodari kina wema walimgwaya zari, nae akajipa ununda kwamba diamond kwake hachomoi, yako wapi sasa,