Hamisa ni mjinga, Diamond ni mjinga hata Zari pia ni mjinga. Asitokee yeyote kati ya hawa wajinga watatu akaifanya nafsi yako ipate sononeko.Hamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!
Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Majizo is a man not a boy like diamondMajizzo hawezi ujinga wa Misa. Sheria za Majizzo ndo zilizomtoa kwa Majizzo maana bi dada anapenda attention na Majizzo hataki hayo maujinga ya media sijui mashoga mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umenena point tupu halafu umekuja kuandika upupu hapo mwishoni kuhusu Zari. Zari ni mjinga tu kama wajinga wengine.... kuwa na hela hakuondoi ujinga kichwaniHamisa ahitaji pole yeyote, yeye alivyolala na Diamond alishajuwa kuwa yeye ni side chick au an experiment at best (demu wa kuondoa nyege). Hata alivyojipiga picha akiwa kitandani na Diamond alionekana kuwa na uwoga kwa sababu alishajuwa kuwa kaiba na hakuwa na uhakika kama atapata matunzo. Side chick ni side chick tu, na kama kweli ana wish kuolewa na Diamond basi Diamond ajiandae kufirisika mapemaaaaa. Kuna mademu hasara dizaini ya kina Hamisa na Wema (kuchapwa na kuachwa solemba) na mademu wenye nyota kama Zari.
waaaooh kumbe upo single ni bahati iliyoje!
Hamisa hapo ndo anapofeli nampenda sana tu ila kumpa ukweli masti kwa mtu anaejielewa hawezi kujibu kirahisi hvyoo!hawa wanawake sijui mondi anawapa nini!
Mpk wanakubali kudhalilishwa hivi yaani penny tu ndo alisimama imara!wengine wote zeros kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umenena point tupu halafu umekuja kuandika upupu hapo mwishoni kuhusu Zari. Zari ni mjinga tu kama wajinga wengine.... kuwa na hela hakuondoi ujinga kichwani
Nakwambia anawapata wa kuwaburuza hivo!![emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]ila diamond hapana side kid...I don't know aliwaza nini!naomba Mungu nipewe hekima hii hii!!na nisijepata side kid!!maana yaani kama hamisa atarudi kwa huyu mtu atakua mwehu loohh!Jana kawaita maside chick!Leo kaja na kima na genye zao ndo zimewapeleka kwake hao wanawake wote aliolala nao!!
Mimi nimemchoka huyu kakaa!hahaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeewaaaooh kumbe upo single ni bahati iliyoje!
Hao wote Hamisa, Wema, Zari, Diamond ni wajinga tu, Sipendi vile Dai anatumia udhaifu wa hawa wanawake kuwafanya chochote anachojisikia.... Ila kwa upande wa pili nastaajabu sana viwango vya kutojielewa vya hawa wanawake.... Ni viwango vikubwa mno.Dai nakuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleeeee jamani,chukua ua lakoView attachment 845892
Usinipe pole maana wote tupo single.... Tujadiliane tu maana huwez jua... Ya Mungu mengi
OhoooWanawake wa JF bana kila mtu anajiona perfect ana akili kuliko Hamisa,wengine tunawajua majina yenu halisi,hadi nyumbani kwenu,kuna mmoja hapa na
ona yuko mstari wa mbele kuponda but nikisema lile tukio la aibu lililokukuta juzi unaweza kuihama JF,msiwe wepesi wa kuhukumu ilihali wewe ndo umeoza kweli kweli.
Labda bi Sandra afe ila as along as she is alive asahau kuwa Mrs. Diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Majizzo hawezi ujinga wa Misa. Sheria za Majizzo ndo zilizomtoa kwa Majizzo maana bi dada anapenda attention na Majizzo hataki hayo maujinga ya media sijui mashoga mashoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Akirudi atakua mgonjwa sio buree!we mwanaume yule hapana bwana!!!yani kuna mda natamani watu wangepata akili kama zangu!Mimi bwana sijali hyo kitu!!