Hamisa Mobetto: Diamond anaweza akanioa

Hamisa Mobetto: Diamond anaweza akanioa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilidhan nakera kumbe nipo vizuri naona watu wanalalamika pemben oooho kuna mtu anamsema hamisa na mwanae mara mwingine anatishia kuanika majina aiseeee
Hukeri mama nipo upande wako ....Mimi ni team zari Leo na kesho peponi ........

Tuseme ameen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna aliyeitwa kima leo huyu diamond hapana jamani anawadhalilisha mababy mama zake woiiiiiii
Mwingine side chick mwingine kima wanajipeleka kwa nyege zao wenyewe kaah!nimechoka nakumbuka ashawahi sema yule South Africa,yeye bado kijana hajaoa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwanamke yoyote wa daimond ni kama wehu vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walifunga ndoa. Na mwimbo ulitolewa. Bisahara mengine ufichwa

Ni mkewe Zari
Sasa wameachana ndio maana hana nyodo
Hawana ndoa bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuacheni utimu my coco Sema hawezi kumtukana Zari kwa kua anajua Zari ni mjanja anajua sheria zoteee!akijifanya nundaa atashtakiwa kwa defamation na vitu kama hvyoo! kwa kuoa bado kabisa!!

Aliolewa kwenye iyena wanawake wakiwa na daimond wote akili zao zinafanana mpk wazinduliwee!Sio hamisa,Zari,Penny, Jokate wala Wema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine side chick mwingine kima wanajipeleka kwa nyege zao wenyewe kaah!nimechoka nakumbuka ashawahi sema yule South Africa,yeye bado kijana hajaoa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwanamke yoyote wa daimond ni kama wehu vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana unakosea sana
Anampenda sana embe bichi zari
Amefunga naye ndoa
Anamweshimu
Amemnunulia nyumba na gari
Pugi ndo alimbaka dimondo hadi mimba
Hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angempenda angemuoa sio kumzini kwa kipindi chote hichoo na kumuacha vile!
Interview ni kujikosha tu yaani yule kaka ni laghai na Zari ashamjua kamchoka kwa kumdhalilisha kule alijua Zari ni kama kina wema Leo wanaachwa kesho wanarudiwa ila kwa mapenzi hana hata Moja daimond ni mjanja anadata na biti!

Sent using Jamii Forums mobile app

Walifunga ndoa tayari. Sirudii kueleza
Mwimbo mnao pia uleeeeeeee wa hiyo siku
 
Hamisa
Simu na ujumbe anamsumbua sana na kamuaribia mengi.
Kima Zari bwanaa ndo aliyelalamika BBC kua sababu ya kumuachana ni kushikana shikana na kina Wema!alivyompigia simu hakupokea daimond
Tuacheni utimu pembeni Daimond anawadhalilisha wote Zari na Hamisa na amezaa nao Mimi hapa nawaona hawa wadada ndo walibugi!yule kima huyu side chick

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana ndoa bwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuacheni utimu my coco Sema hawezi kumtukana Zari kwa kua anajua Zari ni mjanja anajua sheria zoteee!akijifanya nundaa atashtakiwa kwa defamation na vitu kama hvyoo! kwa kuoa bado kabisa!!

Aliolewa kwenye iyena wanawake wakiwa na daimond wote akili zao zinafanana mpk wazinduliwee!Sio hamisa,Zari,Penny, Jokate wala Wema

Sent using Jamii Forums mobile app


Ndoa ilifungwa wanajua wao y
Waliamua kuanzia ya mkeka

Sina la zaidi kusema
 
Naona hamisa ana apply ile mapenzi uvumilivu atabadilika maisha kupanda na kushuka misukosuko ya mahusiano kubali yote kama wanawake wa zamani ila jamani hadi kutukaniwa mtoto hapana hiyo ni nehiiiiiii uzuzu wa kiwango cha mwendokasi
Mwanamke huwezi mbadilisha mhuni au asiyejiheshimu, ni mpaka yeye aamue loh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine side chick mwingine kima wanajipeleka kwa nyege zao wenyewe kaah!nimechoka nakumbuka ashawahi sema yule South Africa,yeye bado kijana hajaoa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwanamke yoyote wa daimond ni kama wehu vile!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ndio shida ya dyudyu jamani mbona wanawake wazuri sana kwa nn wasimgomee
 
Hapana unakosea sana
Anampenda sana embe bichi zari
Amefunga naye ndoa
Anamweshimu
Amemnunulia nyumba na gari
Pugi ndo alimbaka dimondo hadi mimba
Hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app


Watu wabishi walitaka ndoa itangazwe.. hawafikirii hata nje ya boksi.

Wengi na humu wanawivu juu ya Zari..

Kima ni hamisa na wanaojipeleka kwake..
 
Walifunga ndoa tayari. Sirudii kueleza
Mwimbo mnao pia uleeeeeeee wa hiyo siku
Hahaaaahaaa!!!ndoa mchezoo coco ile ni shooting tuu!Zari angeolewa daimond angekua ameshafilisiwa muda mrefu sana!weka utimu pembeni daimond hajawahi oaaa!!!

Daimond ni womanizer baaasii!!!haya ya kujipa moyo sijui nani kaolewa,nani anapendwa inshort daimond hana anayempenda zaidi ya mama ake!
Wengine side chick wengine vima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alidhan kwkwenda ake sauzi na shopping juu atashobokewa badala yake wakampotezea,mihasira kaja kuivujisha interview
Seems diamond alienda kwa Zari kumbembeleza ampe k sasa Zari kamnyima ndo Diamond katoa video akiwa na wema. Anavowazalilisha tu inaonyesha hana Amani so ndo anafikiri akifanya HVO anajipunguzia maumivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana unakosea sana
Anampenda sana embe bichi zari
Amefunga naye ndoa
Anamweshimu
Amemnunulia nyumba na gari
Pugi ndo alimbaka dimondo hadi mimba
Hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kamuoa watu wanajipa moyo kwelii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom