Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

MSISAHAU KUWA SHERIA YA MTOTO WA AFRIKA YA MWAKA 2009 INAMPA HAKI MTOTO YA KUTUMIA MALI ZA WAZAZ WAKE KWA KADRI ANAVYOHTAJI NA KUPATA HUDUMA ZOTE KUTOKA KWA WAZAZI WAKE.. HVYO HUYO MTOTO HATA AKITAKA KWENDA KUISH KWA DIAMOND NI HAKI YAKE NA HAITAJI KUSUMBULIWA..

DIAMOND HUU MZGO NI WAKO UBEBE KAMA WA WATOTO WENGNE
 
Juzi tulikua busy na mond na yeye anataka tuwe busy nae j3.

Ngoja nisikilize hiyo j3 tatizo mond ile juzi alimlaumu mwenzie sana ila yeye aonekane msafi
 
Hebu tujaribu kuweka mambo ya msingi yanayotujenga jamani...Mtu mzima unatuletea habari za wazinifu humu zinatusaidia nini sisi?
 
Kama Zari alikanusha aliyosema Mondi papo hapo, basi kuna uwezekano kuwa Mondi kasema uongo sana kuhusu Hamisa.
 
Duh
 
Condom 500/= Tsh
Ko Hamisa aliitegesha makusudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akapata mimba makusudi??

Akapata RAV 4. makusudi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji73]
 
Akiwa na akili aanze kwanza kukataa kama alipewa Rav4 angalau itawaingia watu akilini!

Nyie dada zetu bwana! Kwani kama umeshazaa nae kutulia uendelee kutumbua huo mtonyo wa mond ungepungukiwa nini???

Sasa unataka kushinda nae???
Ingawa unaonekana una target sana ukizikomba za matunzo ya mtoto kwa majizzo Na mond maisha ya mjini yanakuwa muruaaa kabisa
 
Huyu nae kwani harusini hakualikwa kumbe.. Labda ataacha kumgeza Zari mengi.. kakosa michuzi tu au angemgeza kila kitu.
Napita mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…