The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Dogo hata kama Niko marekani na mobezo wangu usinichukulie poa bwege mm mzaramo mwenzenu pumbifi weMuziki umevamiwa na machangudoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo hata kama Niko marekani na mobezo wangu usinichukulie poa bwege mm mzaramo mwenzenu pumbifi weMuziki umevamiwa na machangudoa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Sasa Makiki yote yale ya Mpopo ya nini kumbe alikuwa video queen?
😀😀😀😀kwamba jamaa ni video queenSasa Makiki yote yale ya Mpopo ya nini kumbe alikuwa video queen?
Hehehehehe jamaniTaifa stars imefungwa..una taarifa??
Ndio maana hatupati mafanikio tunashabukia ujinga na wajinga wanajiona wana nguvuNchi inapelekwa kise.nge anakuja lafa mmoja anatunga kibao cha kinaa kama hicho, nyambaaf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kutoka kucheza NBA mpaka uvideo queenSasa Makiki yote yale ya Mpopo ya nini kumbe alikuwa video queen?
Akuna cha bwana mpya Wala nini . hamisa kawa weza mashilawadu wa tz. Kumbe alikuwa anatafuta attention ya nyimbo.
Yule jamaa mcheza nondo ya kikapu katumika kama video visk .
Kwan hamisa yupo bss?Hata Harmonise BSS walimwambiaga hajui kuimba akatafute shughuli nyingine za kufanya leo yuko wapi?? Cha msing Misa atafute vocal trainer amfunze jinsi ya kuiweka sauti yke poa. Sauti ya kuimba anayo tena sana tuu.
Kitu usichojua ni kwamba Diamond ilimchukua miaka 2 kukukaa na Harmonize na kumpika kabla ya kutoa single yake ya Kwanza ya aiyola,Hata Harmonise BSS walimwambiaga hajui kuimba akatafute shughuli nyingine za kufanya leo yuko wapi?? Cha msing Misa atafute vocal trainer amfunze jinsi ya kuiweka sauti yke poa. Sauti ya kuimba anayo tena sana tuu.
Watanganyika wana wivu mpaka aibu.Hata Harmonise BSS walimwambiaga hajui kuimba akatafute shughuli nyingine za kufanya leo yuko wapi?? Cha msing Misa atafute vocal trainer amfunze jinsi ya kuiweka sauti yke poa. Sauti ya kuimba anayo tena sana tuu.
DuuhNdio, tumefuzu michuano ya afcon itakayopigwa Mogadishu Capr Verde ya Morocco nchini Kenya Nairobi.
Yes ni Video queen si wanasema kwamba Jamaa ni mzuri Africa nzima.😀😀😀😀kwamba jamaa ni video queen
Noma Sana 😀😀😀😀😀😀!![emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kutoka kucheza NBA mpaka uvideo queen
Akuna cha bwana mpya Wala nini . hamisa kawa weza mashilawadu wa tz. Kumbe alikuwa anatafuta attention ya nyimbo.
Yule jamaa mcheza nondo ya kikapu katumika kama video visk .