Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Huyu ameingia mazima anaweza hata kumjengea shopping mall.Huyu mwanamke alitaka kudanga kwa Fally Ipupa akamtolea mbavuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ameingia mazima anaweza hata kumjengea shopping mall.Huyu mwanamke alitaka kudanga kwa Fally Ipupa akamtolea mbavuni.
Kwani wewe ukipata demu tajiri siyo maendeleo? Basi tufanye ni maendekesho.Kwa dada zetu wadangaji kwa akili zao zilivyokwa ndogo hayo ni maendeleo kwao.
Fally alichomoa akaona sihitaji upuuzi huo hela yake haitoki kizembe😅Huyu mwanamke alitaka kudanga kwa Fally Ipupa akamtolea mbavuni.
Mademu wa kimarekani wanazinguwa sana, kwahiyo akikutana na demu wa Kibongo anajiona yuko dunia nyingine.Huyu ameingia mazima anaweza hata kumjengea shopping mall
Ni hatari sana yani, sema ndio maisha sasa utafanyaje! Fursa za kuuza nyuchi ziko waziMbususu iliwatoa watu from nobody’s to nobles.
Kama mimi nilivyojuta?😉😉😉Ukikipata kitumie ukikikosa kijutie.
Yeah zile caring za madem wa kibongo ni hatari hasa ukiwa na pesa za kuzidi nae akiwaza alivyo na njaa anatoa penzi moto moto ili yake yaende 😅!Mademu wa kimarekani wanazinguwa sana, kwahiyo akikutana na demu wa Kibongo anajiona yuko dunia nyingine.
Nchi zilizowapa haki za kupitiliza wanawake ni tatizo.
Ila humu ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio mbaya, acha Anko aonje ladha halisi ya papuchi OG kutoka Afrika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikipata kitumie ukikikosa kijutie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaahHii ndio ile wanaita kudanga kwa weledi [emoji28]..
Huyu mwamba kweli lazma aje kuwekeza zile billion 8 zake bongo kashafinyiwa kwa ndani na mtoto wa Tandale uswahilini!
Inaonekana kapata review kwa rotimi kuwa hizi ngozi za kibongo ni noma [emoji3]
Hapo mjuba rozey achomoi!!! Atapigwa hata tunguli😅Huyu ameingia mazima anaweza hata kumjengea shopping mall.
Kabisa yaan.Wale walimwambia ukoo umejaa walimfungulia milango ya ziada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mwanamke alitaka kudanga kwa Fally Ipupa akamtolea mbavuni.
Kwenye akili yangu sijawahi kufikiria kumtongoza demu ili nifaidike kiuchumi sijawahi na mademu nilio wahi kuwa nao wa kawaida labda itokee tu kuvutiwa na binti tajiri, ila mawazo hayo sina kabisa, kwanza ktk maisha naamini HELA YA MWANAMKE siku zote chungu hata akiwa nayo sitoifanya kama sehemu ya kipato changu.Kwani wewe ukipata demu tajiri siyo maendeleo? Basi tufanye ni maendekesho.
😂😂😂😂 Inaitwa last card ukiipoteza mchezo umekwisha.Hapo mjuba rozey achomoi!!! Atapigwa hata tunguli😅
Wanakwambiaga K hainaga makombo au hainaga missed call.Ile ni keki isiyooza mradi umwanglie mlaji ni nani.