Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Tumkaribishe mkwe Serengeti aongeze pato la Taifa.Wanakwambiaga K hainaga makombo au hainaga missed call.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumkaribishe mkwe Serengeti aongeze pato la Taifa.Wanakwambiaga K hainaga makombo au hainaga missed call.
😀😀😀😀Tumkaribishe mkwe Serengeti aongeze pato la Taifa.
😬😂😂😂😂😂😂😂😂 Inaitwa last card ukiipoteza mchezo umekwisha.
Recreation tu mzee, huwezi kuzungumzia habari za chief Hangaya masaa yotemwanaume unapata wapi nguvu za kufatilia mambo kama haya
Hahahahahah binti ana Mganga mkali😂😂😂😂 Inaitwa last card ukiipoteza mchezo umekwisha.
Pole sana!uaseehh! Unateseka ukiwa wapi na hamisaa?tamu yake kapewa buree...sasa makasirikio vipi!alikunyimaa?![emoji28]Rickross atapiga tu na kusepa juzi tu fally pupa alisepa demu alikuwa anajilengesha wazi wazi yaani haoni aibu kabisaa anaganda wanaume vibaya mno umasikin mbaya sana
Huyo akirudi hiyo habari yake kwenye vyombo vyetu vya habari vya siku hizi habari yake inapewa hadhi ya EXCLUSIVE NEWS.Mtu unaingia clouds,itv,eatv alafu unakutana na huu utumbo
Sjajua kwann au hili ni Jambo la ajabu sana?
Hahahahaha sasa nashangaa mnaotushangaa humu JF kuwa kwanini tunasoma habari hizi wakati ziko all-over local medias.Mtu unaingia clouds,itv,eatv alafu unakutana na huu utumbo
Sjajua kwann au hili ni Jambo la ajabu sana?
Hawa Wamarekani Weusi wana makanisa yao ya Gospel. Kule Mchungaji akikuwekea mkono uchawi wote unayeyuka.Hahahahahah binti ana Mganga mkali
Hahahahahah ni nomaHawa Wamarekani Weusi wana makanisa yao ya Gospel. Kule Mchungaji akikuwekea mkono uchawi wote unayeyuka.
Kwani na yeye hata enjoy?Mwache aliwe mbususu yake tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamisa mjanja yule, na atashika ujauzito.Naona anakitegesha apate mtoto na nyonyoma wa mbele ili child support ihusike just imagine triple child support ya majjizo,nasib Abdul,na final ya nyonyoma Rick Ross ndo naanza kuamini mobetto hatoishi kwa mkate tuu bali kwa child support azipatazo toka kwa waume watatu