Nimeikumbuka ile nyimbo tu wanaijeria sijui waleMrembo na mwanamitindo Hamisa Mobetto na staa wa hip hop kutokea Marekani, Rick Ross wakijiachia Dubai kwa mara ya kwanza na kuweka wazi mahusiano yao.
Kupitia Snapchat Hamisa ame-share picha akiwa amevaa t-shirt ya Rick Ross aliyokuwa amevaa wakiwa club.
Kashindwa kabisa kujikaza jamaniEeh mkwe hyo hapo ...!!!!View attachment 2024831
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila watu humu mnatuongezea siku zakuishi acha tuchekeRick rose hii picha lazima tumtumie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2024380
πππππnimecheka aiseeHapo mjuba rozey achomoi!!! Atapigwa hata tunguliπ
Mapenzi mabaya sana!yanauma hakutegemea kama atapigwa na kitu kizito km hichii!Daaaah! Kweli kaumia,
Asingeweka hiyo post, kajishusha CV yake na anaye date nae kwa sasa
[emoji2]
Wee anaanzaje kwa mfano [emoji1][emoji1][emoji1]sikujuaga matajiri mapenzi yabawatesaga Ila nliskiaga kwa wambea kua Vunja kwa mobet alimuelewa mnoo...yaani to core..sema Missa hakumfil mshikaji kivile
Yaani kwa sasa yuko kistaa sana hana time na watu wa ajabu ajabu...na atafika mbaali kwa sasa!ujinga kaweka pembeni..na kwa MTU km Rick kua nae karibu tayari anatengeneza brand yake ikue.Ona wahuni walichofanya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Hamisa amejiposition kama K-Lynn alivyofanya kwa Mzee Mengi.Kameshajiposition kwenye level flan,yani hawa kina Uwoya sijui Kajala na wengine wote hapa kwa Misa ni maji marefu kwa sasa.Hata Watandale wenyewe kwa sasa kimyaa,hapo sijamtaja yule Baby Mama Mkubwa aliyekuwa anamwita mwenzie βlowlifeβ.Najua kwa sasa kuna wengi sana wamepigwa na kitu kizito kichwani na huyu Binti[emoji3][emoji3]
Jamaa anapenda ligi sana na akizidiwaa anakimbilia kusema 'kamtu kenyewe unakuta kadogoo kabayaaa ' [emoji23][emoji23] huwa ananichekesha sanaBora umeona mkuu haeleweki comment zake huyu itakuwa si mzima
Tayari ni level zingine hizoo!wangapi wamefanya tangazo na Rozyy!Mbona apo wanafanya video ya tangazo jmn mnapagawa na nini tena [emoji1787][emoji1787]
Na wachawi wakizeeka wanageuka majiniNa kwa wivu huu watu walonao wakizeeka wanakua wachawai[emoji23][emoji23][emoji23]
Si kamfungulia mobetto kids ileVunja bei alisanuka demu anataka kufunguliwa biashara kisha achomoe ujauzito fasta! Mwamba akajiengua π π π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]daah...!!majini makataNa wachawi wakizeeka wanageuka majini
Sijasikia kauli ya bibi sandra[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]daah...!!majini makata
Af mtu aseme Hamisa hana akili.
Sio ufahari kwa mtazamo wetu aiseehHahaaa Fally halagi malukanga ya kina mondi aliona anavyojipeleka peleka akamtolea mbavuni kwani alijua ni dangachee, kiukweli haya mambo walitakiwa wamalizane na Ross hukohuko kimya kimya , sasa kwakua bidada shule less yeye anaona ufahari
Unaweza kuwa na pesa mingi na ukawa bado mshamba mshamba fulani tu, sasa demu kama hazimikii swaga zako anachukuwa pesa tu baadaye anakutupa tu.Wee anaanzaje kwa mfano [emoji1][emoji1][emoji1]sikujuaga matajiri mapenzi yabawatesaga Ila nliskiaga kwa wambea kua Vunja kwa mobet alimuelewa mnoo...yaani to core..sema Missa hakumfil mshikaji kivile
Yaani kwa sasa yuko kistaa sana hana time na watu wa ajabu ajabu...na atafika mbaali kwa sasa!ujinga kaweka pembeni..na kwa MTU km Rick kua nae karibu tayari anatengeneza brand yake ikue.Ona wahuni walichofanya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]View attachment 2024872
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unacheka balaa
Wee anaanzaje kwa mfano [emoji1][emoji1][emoji1]sikujuaga matajiri mapenzi yabawatesaga Ila nliskiaga kwa wambea kua Vunja kwa mobet alimuelewa mnoo...yaani to core..sema Missa hakumfil mshikaji kivile