Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Acheni auze jamani.

Au kwa kuwa ANAUZA KIMATAIFA NA WENGINE UUZAJI NI WA TUMA NA YA KUTOLEA?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na makato yamepanda bei[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]nimecheka balaaa
 
Badala ya kuwashangaa wanaume mngemshangaa huyo mobetto kwa kuwa mfano mbaya kwa jamii hususani mabinti wanaomfollow

Kwa tabia yake mbaya ya umalaya kuzaa zaa ovyo na kila mwanaume bila ndoa.

Siku shangai una represent akili za majority ya wanawake.


Napo utapinga bado[emoji2][emoji2][emoji1787]

Tabia mbaya hata Dada zako wanayo au kwakuwa huwa huwaoni wanayoyafanya? Hamisa kosa lake hapo ni lipi sasa? Mnataka kujifanya watakatifu sana wakati hata Dada zenu na wao wanadanga huko,pengine tofauti yao na Hamisa ni moja tu,huyu anamdangia Richforeve wakati wao wanawadangia wanaume wa Buza[emoji3][emoji3]
 
Sikieni nyinyi! Huu ni wimbo na Hamisa
Amecheza kama video queen
Soon pini litaruka kwa hewa.
Yani aruke ruke na Rick asito..mbwe......!!
kipochi manyoya kishaliwa ngoja na SS tukisubiri kikirudi bongo tukile kwa wakati wetu.......
ni mwendo wa kupokezana kijiti tu
 
Mnaowaza HAMISA ana mpango wa kuzaa na Rick , hem tizameni pattern za udangaji kwanza

Wenzie wote wamedanga ndo wakazaa.
Yeye sasa kadanganywa danganywa na mapenzi na kuvaa Madera ya sare na nn , kazaa kamaliza kamwachia mamake watoto.

SASA YUPO MZIGONI.

Sio mjinga..
Asante Dada[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]sisemi tena![emoji12][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Badala ya kuwashangaa wanaume mngemshangaa huyo mobetto kwa kuwa mfano mbaya kwa jamii hususani mabinti wanaomfollow

Kwa tabia yake mbaya ya umalaya kuzaa zaa ovyo na kila mwanaume bila ndoa.

Siku shangai una represent akili za majority ya wanawake.


Napo utapinga bado[emoji2][emoji2][emoji1787]

Hakuna la ajabu analofanya hapo Hamisa,haya anayoyafanya hata Dada zako wanayafanya sana tu (sorry najua itakuuma lakini ndiyo ukweli wenyewe) .Tofauti ya Hamisa na wengine ni kuwa yeye anadate mtu maarufu zaidi kwa sasa hadi mnapata muda wa kumkosoa ila dada zako wanadate kwa kina Mangi wenye maduka pale mtaani kwenu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kuna watu akishika mimba watakufa kwa stress best wabongo hawaa!km kwa dangote alitukanwa nchi nzima,seuse Rozeey watu watakufa..
Ila tuseme tu shosti kaukata kama kudanga ndo vile adange tu Dada(ukitaka kula nguruwe kula aliyenona)
Kila mtu na kaburi lake!wamuache tu[emoji2][emoji2][emoji2]

Yani nasoma Comment za Wanaume humu nacheka sina mbavu,wanamsema Hamisa wakati hata Dada zao wanadanga huko.Tofauti ni moja tu,Hamisa anakula nguruwe aliyenona kama ulivyosema,wakati dada zao wanakula Sungura wenye vifaduro[emoji1787][emoji1787]
 
Tabia mbaya hata Dada zako wanayo au kwakuwa huwa huwaoni wanayoyafanya? Hamisa kosa lake hapo ni lipi sasa? Mnataka kujifanya watakatifu sana wakati hata Dada zenu na wao wanadanga huko,pengine tofauti yao na Hamisa ni moja tu,huyu anamdangia Richforeve wakati wao wanawadangia wanaume wa Buza[emoji3][emoji3]
Hawaamini wanachokiona hawa wakaka!!Dada zao wanaliwa na wanaume wa Manzese uwanja wa fisi!watulie tuliii!!!
 
Rick Ross huko mbele ana kesi kibao za kukataa watoto au za zero child supports kwa wazazi wenza..huyu demu mpeni na taarifa hiyo asije akarudia makosa aliyofanya kwa Mond huyu Rick Ross ni mara mbili ya Mond hatoi child supports kama akikuona mdangaji
Hutaki tupate kajomba ka Rick Ross bwashee
 
Wamepigwa na kitu kizito hawaamini,wanataka kumkosoa Ross lakini wakikumbuka Net worth aliyonayo ukilinganisha na wao,makasiriko wanampelekea Hamisa.Hamisa nyoosha kabisa wote kuanzia Tandale,nenda kule kwa Bi Mdashi Tuks aliyekuwa anamwita mwenzie low life,halafu nyoosha na Wanaume wa hapa JF ambao wanatokwa povu kwa wewe kudanga kwa Mwanamziki Tajiri tena wa Kimarekani.Bora Vunjabei kakubali mziki ni mzito[emoji3][emoji3]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]nyamizi una nini lakini!!watu wanakufa vihoro hukooo!!mwe mwe mweh
Kaka zetu jf wameumia makasirikio mengi sana![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wee anaanzaje kwa mfano [emoji1][emoji1][emoji1]sikujuaga matajiri mapenzi yabawatesaga Ila nliskiaga kwa wambea kua Vunja kwa mobet alimuelewa mnoo...yaani to core..sema Missa hakumfil mshikaji kivile
Kwa yale mahaba lazima Mkinga alimuelewa Misa. Apambane na kutafuta pesa. These ho*es ain't loyal [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Yani nasoma Comment za Wanaume humu nacheka sina mbavu,wanamsema Hamisa wakati hata Dada zao wanadanga huko.Tofauti ni moja tu,Hamisa anakula nguruwe aliyenona kama ulivyosema,wakati dada zao wanakula Sungura wenye vifaduro[emoji1787][emoji1787]
Wana wivu mbaya hawaoni ht aibu![emoji3][emoji3][emoji3]imagine mwanaume anamuonea donge mwanamke kuliwa..[emoji16][emoji23][emoji23]sio level kwa sasa!maisha ya kupanda na ndo amepanda kama walimkosa shule za Msingi,Tandika SS na Miss Ishi,enzi hizo ndo baaasi tenaa!
 
Kwa yale mahaba lazima Mkinga alimuelewa Misa. Apambane na kutafuta pesa. These ho*es ain't loyal [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]kamtolea mbavuni kuubwa mbele ya cash ekschuzi her....ex's wa Hamisa wote kwa sasa wanaumia na wale wake wenza...!!!
 
Yani aruke ruke na Rick asito..mbwe......!!
kipochi manyoya kishaliwa ngoja na SS tukisubiri kikirudi bongo tukile kwa wakati wetu.......
ni mwendo wa kupokezana kijiti tu
Aah!kwanza shooting na Rozy ni full respect atauza ze whole world...!!baada ya Cynthia Masasi ni yeye sasa!!
 
Nichukieje??!!! Mbona hueleweki[emoji849][emoji849][emoji849] kwanza sina mazoea naye huyo demu na sina haja ya kumjua, ila naongea nachokiona huyo demu anadanga mbaka aibu kwenye show ya fally niligundua tu huyu anajiuza kabisaa

Haya ndiyo makasiriko yenyewe sasa,unasema huna haja ya kumjua lakini wakati huo huo unajua movement zake zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Btw Hamisa hahitaji mazoea na wewe maana hajui hata kama upo,yeye anawajaua hao kina Majizzo,Diamond na sasa ame upgrade kwenda kwa kina Richforever kule ni mwendo wa kusecure bag [emoji385][emoji383].Wewe na mimi acha tupambanane na haya madafu ya Mama Samia
 
Nyamizi madafu ya mama Samia[emoji3][emoji3]!!!
Haya ndiyo makasiriko yenyewe sasa,unasema huna haja ya kumjua lakini wakati huo huo unajua movement zake zote[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Btw Hamisa hahitaji mazoea na wewe maana hajui hata kama upo,yeye anawajaua hao kina Majizzo,Diamond na sasa ame upgrade kwenda kwa kina Richforever kule ni mwendo wa kusecure bag [emoji385][emoji383].Wewe na mimi acha tupambanane na haya madafu ya Mama Samia
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]umemsahau tajiri Vunja hapo ndo anawajua hao!
 
Mnaowaza HAMISA ana mpango wa kuzaa na Rick , hem tizameni pattern za udangaji kwanza

Wenzie wote wamedanga ndo wakazaa.
Yeye sasa kadanganywa danganywa na mapenzi na kuvaa Madera ya sare na nn , kazaa kamaliza kamwachia mamake watoto.

SASA YUPO MZIGONI.

Sio mjinga..

Umetoa angalizo mujarabu kabisa,Binti sasa hivi anasecure bag atengeneze future za wanae.Halafu kichekesho unaweza kuta waliokuwa hawatoi pesa za matunzo kwa Watoto wakaanza kuzitoa kwa kujipendekeza,maana Hamisa sasa hivi kaingia viwanja vya [emoji383].Hizi wekundu wa msimbazi kawaachia kina Uwoya ndiyo wahangaike nazo.
 
Back
Top Bottom