Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Wamegwaya walitaka atoke na kivurande wamtukaneee wamuite cheap Malaya,wampe mifano ya kinabosslady,Mara veepesa n.k...yeye kabutua kombolela mpk Us ndo wameshangaaa!!

Bosslady huko aliko anaumwaa,alikuja kwa Watandale kwa ajili ya umaarufu na akajiona kapatia na kejeli za kutosha kwa Baby Mama mwenzie.Hamisa kamwonyesha nini maana ya kudate na Mwanamziki maarufu.Kudos kwa Watoto wa Ki Bongo,mmeamua kuwaonyesha EA nini maana ya kudate watu maarufu,kaanza Vee,bado hatujakaa sawa Hamisa kaja kugongelea msumari wa moto.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]kamtolea mbavuni kuubwa mbele ya cash ekschuzi her....ex's wa Hamisa wote kwa sasa wanaumia na wale wake wenza...!!!

Hasa yule mke mwenza wa kwa Madiba na hivi ni mtu mzima
mwenzetu sasa,mapigo ya moyo yanakwenda kasi kila akiingia kwa mitandao ya kijamii[emoji3][emoji3]
 
Nawakumbusha team makasiriko the top 100 richest rappers...shemeji yetu[emoji116]
Bosslady huko aliko anaumwaa,alikuja kwa Watandale kwa ajili ya umaarufu na akajiona kapatia na kejeli za kutosha kwa Baby Mama mwenzie.Hamisa kamwonyesha nini maana ya kudate na Mwanamziki maarufu.Kudos kwa Watoto wa Ki Bongo,mmeamua kuwaonyesha EA nini maana ya kudate watu maarufu,kaanza Vee,bado hatujakaa sawa Hamisa kaja kugongelea msumari wa moto.
Wavumilie maumivu ya mwili na maini tu..maana wamepigwa sana[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]!!!
Screenshot_20211127-150952.jpg
 
Nyamizi madafu ya mama Samia[emoji3][emoji3]!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]umemsahau tajiri Vunja hapo ndo anawajua hao!

Ewaa,Kaanza na hawa “matajiri Vijana wa kibongo” na sasa ka upgrade kwenye dolali za uhakika,kama huna hizo kwa Bank,wewe kaa pembeni,siyo type ya Mobetto.
 
Hasa yule mke mwenza wa kwa Madiba na hivi ni mtu mzima
mwenzetu sasa,mapigo ya moyo yanakwenda kasi kila akiingia kwa mitandao ya kijamii[emoji3][emoji3]
Mnooo...!!!asiumie mchezo walimuita cheap,Mara sijui low life!!!Leo kawazidi kete mbaali sana!hakuna maslay kwini wasomtamani baasi tu hawajapata koneksheni na umri umesogea na mipombe inawaharibu!
Waliko hawana raha![emoji16][emoji16]Shilole na faiza mbuzi wale sijui wana hali zipi maana walijua kumchamba huyu dadà...!!
 
Ewaa,Kaanza na hawa “matajiri Vijana wa kibongo” na sasa ka upgrade kwenye dolali za uhakika,kama huna hizo kwa Bank,wewe kaa pembeni,siyo type ya Mobetto.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]power of...!!!mda wake huu,muache ale!!!yaani M[emoji7]Missa akomae mpk kieleweke aseeh!km veemoney
 
[mention]warumi [/mention] ndugu yetu huyu ametangulia mbele za haki,sijui angekuwepo hii habari angeileta kwa mbwembwe kisi gani[emoji23][emoji23]

nadhani ingeletwa na msafara wa matarumbeta[emoji1490][emoji1490]
Acha kabisa[emoji21][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji53][emoji17][emoji17][emoji17]I do miss him duude!RIP...!!!
 
Wavula wote wanatokwa povu hatari,mwingine anachekesha kwamba anasubiri Hamisa arudi na yeye ajisevie.Kina Vunjabei wamepigwa chini hadi wanalia ovyo ije kuwa hawa Wavulana wa hapa JF ambao bado wanahangaikia kupata ajira za Mama Samia[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16]ndo kusema hajaajiriwa halafu anamtaka mobetto!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kudumu kwa mahusiano na kunufaika na mahusiano ni zaidi ya papuchi. Hapa watu wanadhani kummegea keki ambayo akina plat walishaichezea siku nyingi basi katajirika. No inaweza ikawa mwanzo na mwisho au ikadumu kwa muda. Kuna kushabihiana kwa hobi, lugha , desturi tamaduni mawazo na mahusiano ambayo ni symbiotic in nature. Yamkini walijuana kwenye mitandao, na ma makeup na ma effect mbalimbali sasa kamuona live.....???? jengine kwani hilo njemba mpaka watu washabikie hivyo lilikuwa halina ilove you kabla na kama alikuwa naye sababu za kusambaratika nini?
 
Kwa haraka haraka rick ana migahawa ya wings za kuku inafika 300...nilikua namskiliza sku1 anasema faida ya mgahawa m1 kwa week ni kama $20000

Vile kama vya mc donald vile.nkasema si mchezo..jamaa jumba lake si ndo walitumia kwenye comming to amerika2

dada etu kapiga hesabu kali sana japo hajafika univazite[emoji23][emoji23]

kama jamaa litajichanganya limjaze,dada hatataka makubwa,kisingeri singeri tu atamwambia kwa wiki anaomna $3000,kama child suport,na kwa mwezi itakuwa $12000,yaani kwake ni hela ya sigara hii,wakati huku bongo tununu anatuua nayo[emoji23].
 
dada etu kapiga hesabu kali sana japo hajafika univazite[emoji23][emoji23]

kama jamaa litajichanganya limjaze,dada hatataka makubwa,kisingeri singeri tu atamwambia kwa wiki anaomna $3000,kama child suport,na kwa mwezi itakuwa $12000,yaani kwake ni hela ya sigara hii,wakati huku bongo tununu anatuua nayo[emoji23].
Mademu wale waliozaa na rosey kuna m1 huwa wanalumbana sana..child support yake huwa kama 40000$ kwa mwez sasa pata picha hapo ...
 
Yaani kwa sasa yuko kistaa sana hana time na watu wa ajabu ajabu...na atafika mbaali kwa sasa!ujinga kaweka pembeni..na kwa MTU km Rick kua nae karibu tayari anatengeneza brand yake ikue.Ona wahuni walichofanya[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]View attachment 2024872
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wabongo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom