Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Alipata akili ya kutanua wigo wa biashara yake[emoji28] sema kwa mshindo wa Rick Rozey lazma aachwe vizuri tena ahakikishe kambebea na mimba kabisa ili avune zile child support za million 50 kila mwezi!
Hamisa Mbususu Investment Ltd ππππMkuu mahesabu ya kitajiri sana hayo kwenye Hamisa Mbususu Investment
Bibie ana ifanyia uchawa mbususu yakeHamisa Mbususu Investment Ltd ππππ
Mkuu mahesabu ya kitajiri sana hayo kwenye Hamisa Mbususu Investment
Ahsante....tatizo watu wengi wamekariri.Sio kweli kwamba Tz hakuna mwanamke anayeweza kumkataa mond
Kwa tamaa mlizonazo za maisha mazuri si tunaona bwana! Ukiniambia mjukuu wa mzee bhakressa ambaye toka anazaliwa mpaka anaota chuchu yupo kwenye dunia ya asali na maziwa tu kwenda disneyland ni kawaida kila xmass dubai huko burj khalifa hapo ntaelewa.
Mimi ni mdada usijesema najitetea hapa [emoji1] ....Ujue wanawake sisi kwa sisi pia tunatofautiana, jamaa atakubaliwa na wanawake wanaopenda wanaume wa aina yake maana kama ni pesa mbona wanaume kibao mtaani wako njema tena sana hivyo inawezekana kunasa kwingine kwake isiwezekane sababu tuna machaguo yanayotafautiana.Kwenye keyboard kila demu atajifanya anachomoa ila ule msafara wa Escalade ukisimama mahali kioo kikashushwa baunsa mmoja tu akuite toka kituo cha daladala ulipokaa na kusindikizwa na kitita cha dollar 200 tu na contact ya kumpigia mtoto wa Tandale aliekaa siti ya nyuma!
Simu utajipigisha mwenyewe tu bila kushurutishwa [emoji28]
Kwani huyo Diamond ana kipi cha ziada ambacho wewe huna mapenzi yangekuwa pesa billigete asingeachwa nikwambie kuna Wanawake wanaopenda pesa kutoka kwa Wanaume, kuna Wanawake wanapenda kujaliwa kutoka kwa Mwanamke mfano kama Wewe unadhani uliyekuwa nae hatongozi na waliokuwa nacho kukuzidi Wewe why yuko nawe asikuache.Kwenye keyboard kila demu atajifanya anachomoa ila ule msafara wa Escalade ukisimama mahali kioo kikashushwa baunsa mmoja tu akuite toka kituo cha daladala ulipokaa na kusindikizwa na kitita cha dollar 200 tu na contact ya kumpigia mtoto wa Tandale aliekaa siti ya nyuma!
Simu utajipigisha mwenyewe tu bila kushurutishwa π
Nimecheka sana mpaka nimemwaga kikombe cha kahawa, you made my day hahhahaHawa Wamarekani Weusi wana makanisa yao ya Gospel. Kule Mchungaji akikuwekea mkono uchawi wote unayeyuka.
ni hatari mzeeKwamba wamezagamuana ππππ
Hii yote kisa nyuchi π³Wanawake tunasafari ndefu sana!!!
Mkitukula kirahisi mnatuona malaya a.k.a maharagwe ya mbeya!
Tukiwazungusha hatuna mvuto [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Umeshasema 'wengi' yes nakubali lakini hii ya kusema wanawake wote hawaezi kataa kutoka na Mondi nakataa.Kwa tamaa mlizonazo za maisha mazuri si tunaona bwana! Ukiniambia mjukuu wa mzee bhakressa ambaye toka anazaliwa mpaka anaota chuchu yupo kwenye dunia ya asali na maziwa tu kwenda disneyland ni kawaida kila xmass dubai huko burj khalifa hapo ntaelewa.
Nyie mnaotokea pangu pakavu wengi misimamo ya kukataa burudani za mjini tena kwa watu maarufu kama Diamond ni ngumu sana! Yani jamaa alipo akitaka kila siku agonge papuchi mpya anaweza na kashazipiga sana mpaka amechoka huo mchezo sahizi anainvest tu!
Uko sahihiUmeshasema 'wengi' yes nakubali lakini hii ya kusema wanawake wote hawazezi kataa kutoka na Mondi nakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajakuchekesha wala nini, unataka tu kumvua dada wa watuππππNimecheka sana mpaka nimemwaga kikombe cha kahawa, you made my day hahhaha