cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kuna siku nilijibu hivo kuhusu Domo wanaume walioshindwa maisha na mahusiano wakaanza kunitukanA, na kusahau kuwa sio kila wanawake wanavutiwa na wasanii na watu maarufuSio kweli kwamba Tz hakuna mwanamke anayeweza kumkataa mond