Hamisa Mobetto, Mama Kanumba washerehekea Lulu kufungwa?

Yaan we dada cjukui lakini kwa muonekano inaonyesha wewe ni mfupi sana cheusi tii ma mdomo mweusi kama kunguru,si kwa umbeo huo.
 
Warumi km hakupendi ndvyo alivyo chochote kwako ni kibaya ana chuki balaaa sipati picha mkewe atakuaje

Mkewe tena? Wakati ye mwenyewe ni mke wa watu??.. warumi ana ucchi kama wanawake wengine tu!!..ni demu huyo!!
 
Pamoja na yote, mshaurini huyu mama mwenzetu aweke akiba ya maneno. Mahakama ilifanya kazi yake. Yasije yakamgeuka tena. Hao vijana wanaomhoji siyo wote wana nia nzuri na yeye.

Aweke akiba ya maneno, asije akatoka mfungwa akabadili yeye.
Mama kala magari yote ya marehemu,bukoba harudi tena
 
Huyu hapa tena Diamond na mtoto aliyezaa na Hamisa Mobeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…