Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

I am so proud of you Hamisa.

This girl need to be studied.

Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)

Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.

Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".

Fate is everything.

Fate cane be manipulated. How ?

By "connecting" yourself.

How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).

Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.

Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .

Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.

Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.

Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.

No value for money.

Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.

Duh graduates wa Necta bana

# Haya sasa twende KAZI.

Moderator uzi usiunganishwe
Kwa hiyo kuuza mbunye ndiyo kufanya makubwa?
Kwa mawazo yako haya haiyumkini ndiyo maana wazungu wanasema mtanzania IQ yake haifiki 10.
 
Pole sana mkuu ulikosa kitu kikubwa sana kwenye maisha yako . Hamisa mzuri sio poa.

Nimewahi kukutana nae live mara kadhaa.

I know how to read people's energy.

She vibrates and operates in a very higher frequency and she has got a very strong and powerful aura.
Limwalimu maneno ndiyo chanzo Cha yote ona Sasa kaolewa na wakuja
 
Kwa kila Hamisa mmoja , kuna kundi kubwa lan wadada/Wanawake ambao wako mtaani, kesho yao na ya kizazi chao haieleweki.

Hamisa njia aliyopitia wengi wamefeli, wamezalishwa watoto wanne kila mmoja baba yake, hakuna matunzo.

Hamisa ni 1 kati ya 200. 199 wamefeli.
 
Kiukweli Likud unatatizo mahala.

Issue ya Hamisa ni nzuri we should celebrate her, lakini mbona umeichanganyia madesa hivi?

Can you please stop! Thank you.
Mwanasiasa huyu, kila jambo analivutia kwake apate kura nyingi.
 
I am so proud of you Hamisa.

This girl need to be studied.

Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)

Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.

Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".

Fate is everything.

Fate cane be manipulated. How ?

By "connecting" yourself.

How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).

Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.

Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .

Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.

Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.

Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.

No value for money.

Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.

Duh graduates wa Necta bana

# Haya sasa twende KAZI.

Moderator uzi usiunganishwe
Ametumia UCHI wake vizuri
 
Kwa kila Hamisa mmoja , kuna kundi kubwa lan wadada/Wanawake ambao wako mtaani, kesho yao na ya kizazi chao haieleweki.

Hamisa njia aliyopitia wengi wamefeli, wamezalishwa watoto wanne kila mmoja baba yake, hakuna matunzo.

Hamisa ni 1 kati ya 200. 199 wamefeli.
100% Fact
 
Kama mtu mzima anaona Hamissa kuolewa akiwa na watoto wawili ni kufanya kitu kikubwa,

Bas kama jamii tumefeli kuelimisha vijana wetu
 
Nje ya hoja yako mleta mada, binafsi nadhani unaingia kundi la watu wanaotakiwa kujifanyia assessment kidogo. Kayumba kayumba and kayumba 24/7. Kuna shida mahali mkuu, hata hii hoja ya Mobetto kuihusisha na kayumba kunaonyesha una tatizo!!!
 
Nje ya hoja yako mleta mada, binafsi nadhani unaingia kundi la watu wanaotakiwa kujifanyia assessment kidogo. Kayumba kayumba and kayumba 24/7. Kuna shida mahali mkuu, hata hii hoja ya Mobetto kuihusisha na kayumba kunaonyesha una tatizo!!!
Umekuwa mganga siku hizi?
 
Nje ya hoja yako mleta mada, binafsi nadhani unaingia kundi la watu wanaotakiwa kujifanyia assessment kidogo. Kayumba kayumba and kayumba 24/7. Kuna shida mahali mkuu, hata hii hoja ya Mobetto kuihusisha na kayumba kunaonyesha una tatizo!!!
Wewe ndio ina shida. Inaitwa Makaga Campaign. Kama hujui maana ya kampeni there is no way I can help you
 
Wewe ndio ina shida. Inaitwa Makaga Campaign. Kama hujui maana ya kampeni there is no way I can help you
Kuna uhusiano gani kati ya alichofanya Hamisa na kayumba schools, you must be nuts!!
 
I am so proud of you Hamisa.

This girl need to be studied.

Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)

Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.

Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".

Fate is everything.

Fate cane be manipulated. How ?

By "connecting" yourself.

How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).

Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.

Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .

Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.

Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.

Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.

No value for money.

Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.

Duh graduates wa Necta bana

# Haya sasa twende KAZI.

Moderator uzi usiunganishwe
Amefanya makubwa kwa kuolewa na Aziz Ki au kwa mahali ya million 30?
 
Back
Top Bottom