Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.
Hawa jamaa wananishangaza sana.
Muuzaji...Ukitaka kupiga hela bongo ni fanya mambo yatakayo kufanya utrend tu
Hamisa anapata madili na makampuni makubwa, anaendesha range na amejenga nyumba kwa kutrend trend tu
Muuzaji...
Hio ndio kazi kubwa ya hao bongo celebrities wengi...
Teh teh teeeeh! Kama kweli vile!!Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.
Hawa jamaa wananishangaza sana.
Hakika hamisa ni opportunist....international hookerMwigizaji Hamisa na Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai huku ikiwa na hashtag ya MissaKi2025
View attachment 3230711
View attachment 3230710
inawezekana...Kuuza kupo Ila hakumpi hela nyingi. Kama ambazo anapiga kwenye makampuni
Basi Simba bingwaMuigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.
Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.
Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga
View attachment 3230711
View attachment 3230710