Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Mwenye Kupenda Haoni, Ingawa Macho Anayo
Chongo Ataita Kengeza,!!
 
Bora tungetawaliwa na mjerumani sijui, waingereza wameturithisha tabia ya umbea... Hadi kwemye soka, vilabu vyetu vya moto, timu ya taifa ni kifo cha mende
 
Kiufupi engineer hersi ndio ilikuwa anamla mobeto baada ya mke wake kushtuka Ali kamwe akaokoa jahazi kuna kipindi watu walidai mobeto anatoka na kamwe sasa hivi jumba bovu kaangushiwa aziz ki.

Hii movie ndio kwanza inaanza sasa hivi wamehamia kwa zizamaliki ila kuna binadamu wajanja wajanja sana Ali kamwe anatumika vibaya na kwasababu hajaoa basi kwake inakuwa mserereko.
 
Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.

Hawa jamaa wananishangaza sana.
Wanataka kiki tatizo mkuu.
 
Hii ni habari njema itakayowasaidia CHADEMA kushinda viti vitano vya udiwani.
 
Aziz Ki anaonekana mshamba wa mapenzi..Naona anafuata nyayo za marehemu Ndikumana
 
Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.

Hawa jamaa wananishangaza sana.
Atapigwa tukio tu..kapendewa mkwanja anaovuta Yanga! Aziz K unakwama wapi??hata research kidogo!!!godamn
 
Back
Top Bottom