Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji1787]Oyaa wewe unafuatilia mambo ya majini nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Oyaa wewe unafuatilia mambo ya majini nn?
Hawa si maarufu bali vyangudoa wa kawaida wanaojiuza kwa kisingizio cha umaarufu.Kitu kinanishangaza, hawa watu maaruf hawana wivu, kama ningekua maaruf, ningetafuta mtoto mbichi, unknown to people tukatulia.
Hawa jamaa wananishangaza sana.
Nimesikitika sanaa! Kumbe ki yupo serious kumuoa Misa. Ndoa tar 17Astaghfirullah!!
![]()
Huoni alivyo mkali?Nawashangaa wanaume wanavyompapatikia huyu
Sjui anawachanganya na nini
Ova
Nawashangaa wanaume wanavyompapatikia huyu
Sjui anawachanganya na nini
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tufatilie ya mbuzi
Kwani nani hajui, Missa ni chepoz la muhabdisi. Domolepe ni picha tyuuhKiufupi engineer hersi ndio ilikuwa anamla mobeto baada ya mke wake kushtuka Ali kamwe akaokoa jahazi kuna kipindi watu walidai mobeto anatoka na kamwe sasa hivi jumba bovu kaangushiwa aziz ki.
Hii movie ndio kwanza inaanza sasa hivi wamehamia kwa zizamaliki ila kuna binadamu wajanja wajanja sana Ali kamwe anatumika vibaya na kwasababu hajaoa basi kwake inakuwa mserereko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaa, WoiiiiihWanaume wa JF tafuteni hela jamani, hizi hasira zenu ni wivu kwa kuona vijana wanaenjoy maisha halafu wala hajawasoma kiviiiiiiile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila mwanaume anatamani angekua na demu kama Hamisa ila sasa maokotoooooo hamna, hao akina Mwajuma n'chokonoe ndio levo zenu pambaneni nao
abracadabra!Haha. Mshahara unakwenda ivory Coast kwa akaunti hii ;
Unarudi Tanzania kwa akaunti nyingine.
Good.
Naunga mkono hojaAnatoa TAKO mkuu, sasa jamaa wengi hao huwa washamba washamba, wakishanyewa wanachachawa sana
Sasa huyo aziz angeenda Brazil si angekufa kabisa kwa madem huko walivyowqkali na kudinyana kwao syo kesiHuoni alivyo mkali?
Ndo nimesoma huko instaKwani nani hajui, Missa ni chepoz la muhabdisi. Domolepe ni picha tyuuh
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hamisa ana umbo zuri ingawa ni la uturuki, kuhusu sura hamisa hana sura kabisa, sura ya hamisa kama imekondeana Dr. MariposaKila mwanaume anatamani angekua na demu kama Hamisa