Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Hamisa Mobetto na Aziz Ki kufunga ndoa, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili

Mkuu angalia historia vizuri, wajerumani walikaa Tanganyika muda mrefu kuliko waingereza.
Mkuu, hebu nisaidie kuelewa hili. Mjerumani alianza kutawala kipande hiki cha nchi wakati huo kikijulikana kama Deutsch Ost Africa mwaka 1880 waka ondoka 1919, hiyo ni miaka 39. Mwingereza akaingia 1919 na kutoka 1961 hiyo ni miaka 42. 42>39
 
Mbona Deutschland walitutawala mkuu? Ila sema si miaka mingi kama walivyo tu tawala Waingereza
Najua mkuu, lakini jaribu linganisha tuna tabia za wajerumani au waingereza?
Si rahisi kuchukua tabia za wajerumani waliotutawala mwanzoni, tukaziacha za muingereza ambae tulikuwa nae mpaka mwishoni, tuna vitabia vingi sana vya muingereza
 
Pamoja na kuwa na watoto wawili kila mmoja na baba yake amepata bonge la mume.
Mnaosema sura sio kumbuka mwanaume sio sura ni miamala
 
Wanaume wa JF tafuteni hela jamani, hizi hasira zenu ni wivu kwa kuona vijana wanaenjoy maisha halafu wala hajawasoma kiviiiiiiile🤣🤣🤣
Kila mwanaume anatamani angekua na demu kama Hamisa ila sasa maokotoooooo hamna, hao akina Mwajuma n'chokonoe ndio levo zenu pambaneni nao
 
Nani ana imani na ndoa za wasanii? Isije ikawa kama ya uwoya na ndikumana
 
Hamisa akikupa utakataa?
Astaghfirullah!!
shocked-face-shocked-meme.gif
 
Je Watanzania wameua kipaji cha Azizi Ki? Ikumbukwe kuwa m jayanti kama akina King Kiki, Lemmy Ongara, Ndala Kasheba, Kasaloo Kyanga, Nguza Mbangu, Thsimanga Assosa, Ilunga Mbanza wote walichukua uraia wa Tanzania baada ya kuoa wanawake wa kitanzania na kuendelea kuendehs maisha yao Tanzania hadi kifo kilipowakuta. Azizi Ki anakuwa mbogo sasa. Najua pi Benard Morrison hataki kurudi Ghana tena baada ya kuonja utamu wa Tanzania.
 
Muigizaji Hamisa na mchezaji wa soka Aziz Ki kufunga ndoa mwaka huu, waweka wazi kwa kuweka post hii wote wawili ya video wakila bata Dubai, wakitumia hashtag #MissaKi2025.

Hili linakuja wiki chache baada ya Mobetto kumtambulisha Aziz Ki, MVP wa msimu uliopita Ligi Kuu ya NBC.

Soma, Pia: Hamisa Mobetto amtambulisha rasmi mpenzi wake Aziz Ki wa Yanga

Namshauri tu kwamba Mabeto amshauri Ki awekeze kwenye biashara nyingine maana mpira una time limit hapo baada ya miaka mitano 5 kipato kitadrop na baadhi ya hawa "Gold diggers" kipato kikipungua heka heka zinaanza.
 
Me sifuatilii mambo ambayo hayana faida yoyote kwangu
Kwahiyo unataka wote tuwe kama wewe?,hii Dunia Ina watu wa karba tofauti, na utofauti huo ndo unaifanya Dunia iende,we endelea kufaritilia mambo yenye faida kwako ,waache ambao wanafatilia yasiyo faida,as long hujawahi peleka debe la mahindi kwao.
 
Back
Top Bottom