ukisikiliza clips inaonekana huyo mganga anatumiwa na mama Diamond,mama Hamisa alishaonesha mashaka kama kweli answeza kuwasaidia au kuwashindilia ndio maana akaomba aongee nae yeye kwanzamie naona hii ni kiki tu...wanatuchezea vichwa vyetu hawa...simu ya mganga inarekodiwa..mfyuuuuu
ukisikiliza clips inaonekana huyo mganga anatumiwa na mama Diamond,mama Hamisa alishaonesha mashaka kama kweli answeza kuwasaidia au kuwashindilia ndio maana akaomba aongee nae yeye kwanza
Hamisi ameuzwa na rafiki wa karibu sana,ambae amemlengesha kwa mganga anaefahamiana na mama diamond,kisha rafiki akawatonya wasubiri simu ikipigwa warekodi.
Hamisa ana uchaguzi aidha aombe radhi aanze upyaaaaa au aende mahakamani kuomba asafishwe
Akikaa kimya anajimaliza kibiasharaHamisa piga kimya,ukiongea tu hili sakata linakugeukia....ILA NA WEWE DIAMOND umsikilize HAMISA,yaani mahela yote hayo unamwacha mwenzio anaadhirika hivi???
Usibishe ndugu hawa wasanii hawaDuh! Mbona nahisi kama unamsingizia huyo msanii.
[emoji3][emoji16][emoji16]mbona kukremishwa majibu Mungu anawaona ujue!daah!yaani Wema vita na mange haiwezi!Kumbe watu walikeremishwa majibu Miss Tanzania 2006. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante umemalizaMhhhh jamani hivi Hamisa ana akili za kushikiwa ama?? au na yy wamemroga ili awe kama zezeta kwa huyo mond. Halafu ipo siku huyo mond atajuta na kukumbuka maneno yake machafu kwa mzazi mwenzie. Any way life goes on. Kuna ambaye alijua sakata la Bashite na vyeti feki lingeisha? kila kitu kina mwanzo na mwisho. Kama kuroga watu wanarogaaa kila kukicha wanasiasa na watu wakubwa na familia zao. Cha msingi Hamisa ajielewe aaache yote aanze upya hata kama atanyang'anywa kila kitu aanze upya. Umaarufu una harufu avumilie hiyo harufu
Not ur cup of tea!yaani kila nikisoma kuanzia heading had comment bado sielewi kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamemuwahi vibaya mnoo!!Sasa wenzake kina mama dangote wamemuwahi kumharibia image yake na ukute mama diamond alikuwaga anaenda wote kwa waganga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kweli aliwaita shilawadu!?kama alifanya hvyo alikosea sana aiseeh!mnooUkute wameigiza, Hamisa kumuitia mama mond shilawadu kilimfanya mama amchukie sana Hamisa nadhani ndo anamkomesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa jamaniPesa kamapata wapi?
Diamond alivyokubali yaishe mahakamani alimpa lumpsum amount ya kupanga na biashara bibie akataka anunuliwe gorofa,akaambiwa basi tulia kwanza hapo,kodi ya miezi sita ikiisha watatafutana
Daah!waliongelea kuhusu kunywa dawa hamisa[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]!!daah mjini hapaSimuogopi mungu ninamuogopa Mungu.
Sikumuona ila wakina Cnythia walikiongea live kwenye kipindi chao Azam tv.
Kunywa maji naona unapaniki tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole yake hiyo trend kwenda kwa waganga wasichana imeshamiri
Ila najuwa shoga mpango wa kuleta twins bado unao
Sasa kama shida Mange why amuingize Missa!hii sio Mara ya kwanza yaani wema ana chuki na hamisa!akubali kashashindwa kila Zama na wakati wake!wema sasa hivi kabaki na chakubanga tu!hana loloteTatizo Mange issue kidogo anamuingiza Wema mbona hajawachamba wakina maimartha....rachel Temu kamuona Wema tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ashindane na Zari wapi!Zari ukubwa wote ulee!!Umeona eeeh hamisa kashapata umaarufu autumie kujijenga apate hela, tatizo anashindana na zarina tu hapo. Wataumbuka aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
alitaka mroga cynthia masasi? WhenInawezekana ingawa wanasema hamissa alipewa no na shoga ake.
Ila Hamissa unakumbuka wakina cynthia walimtoa kwenye show after kukutwa nyumbani kwa cynthia anafanya dawa? Yaani issue zake hapigi mahesabu vizuri anakurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kabisa , tangu siku hiyo najiamini Mimi tu na nafsj Yangu siamini nafsi nyingine. Nikisema niweke niliyoambiwa huko kuhusu hawa wasanii hakuna atakaeamini hata kidogo.Mwenyewe sijaamini kabisa [emoji15] .....Km na huyo anaenda basi hakuna msanii asiyeenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unanichekesha mnoo tukija kwenye issue za missa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama shida Mange why amuingize Missa!hii sio Mara ya kwanza yaani wema ana chuki na hamisa!akubali kashashindwa kila Zama na wakati wake!wema sasa hivi kabaki na chakubanga tu!hana lolote
[emoji3][emoji16][emoji16]kumbe alikaririshwa majibu ya miss Tanzania hana lolote
Sent using Jamii Forums mobile app