Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

mie naona hii ni kiki tu...wanatuchezea vichwa vyetu hawa...simu ya mganga inarekodiwa..mfyuuuuu
ukisikiliza clips inaonekana huyo mganga anatumiwa na mama Diamond,mama Hamisa alishaonesha mashaka kama kweli answeza kuwasaidia au kuwashindilia ndio maana akaomba aongee nae yeye kwanza
Hamisi ameuzwa na rafiki wa karibu sana,ambae amemlengesha kwa mganga anaefahamiana na mama diamond,kisha rafiki akawatonya wasubiri simu ikipigwa warekodi.
Hamisa ana uchaguzi aidha aombe radhi aanze upyaaaaa au aende mahakamani kuomba asafishwe
 
ukisikiliza clips inaonekana huyo mganga anatumiwa na mama Diamond,mama Hamisa alishaonesha mashaka kama kweli answeza kuwasaidia au kuwashindilia ndio maana akaomba aongee nae yeye kwanza
Hamisi ameuzwa na rafiki wa karibu sana,ambae amemlengesha kwa mganga anaefahamiana na mama diamond,kisha rafiki akawatonya wasubiri simu ikipigwa warekodi.
Hamisa ana uchaguzi aidha aombe radhi aanze upyaaaaa au aende mahakamani kuomba asafishwe

Hamisa piga kimya,ukiongea tu hili sakata linakugeukia....ILA NA WEWE DIAMOND umsikilize HAMISA,yaani mahela yote hayo unamwacha mwenzio anaadhirika hivi???
 
Hamisa piga kimya,ukiongea tu hili sakata linakugeukia....ILA NA WEWE DIAMOND umsikilize HAMISA,yaani mahela yote hayo unamwacha mwenzio anaadhirika hivi???
Akikaa kimya anajimaliza kibiashara
Hamisa ana ubalozi sijui wa kutangaza nywele,nani atakubali bidhaa yake itangazwe na mlozi?
 
Mhhhh jamani hivi Hamisa ana akili za kushikiwa ama?? au na yy wamemroga ili awe kama zezeta kwa huyo mond. Halafu ipo siku huyo mond atajuta na kukumbuka maneno yake machafu kwa mzazi mwenzie. Any way life goes on. Kuna ambaye alijua sakata la Bashite na vyeti feki lingeisha? kila kitu kina mwanzo na mwisho. Kama kuroga watu wanarogaaa kila kukicha wanasiasa na watu wakubwa na familia zao. Cha msingi Hamisa ajielewe aaache yote aanze upya hata kama atanyang'anywa kila kitu aanze upya. Umaarufu una harufu avumilie hiyo harufu
Ahsante umemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Mange issue kidogo anamuingiza Wema mbona hajawachamba wakina maimartha....rachel Temu kamuona Wema tu?



Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama shida Mange why amuingize Missa!hii sio Mara ya kwanza yaani wema ana chuki na hamisa!akubali kashashindwa kila Zama na wakati wake!wema sasa hivi kabaki na chakubanga tu!hana lolote

[emoji3][emoji16][emoji16]kumbe alikaririshwa majibu ya miss Tanzania hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama shida Mange why amuingize Missa!hii sio Mara ya kwanza yaani wema ana chuki na hamisa!akubali kashashindwa kila Zama na wakati wake!wema sasa hivi kabaki na chakubanga tu!hana lolote

[emoji3][emoji16][emoji16]kumbe alikaririshwa majibu ya miss Tanzania hana lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unanichekesha mnoo tukija kwenye issue za missa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mara ngapi Mange anamuingiza Wema kisa Hamissa??

Huwa wanapewa maswali wote wanaoingia miss tz....maswali 5 kila mtu ili wajiandae...uliza yoyote alieshiriki miss tz labda utaratibu ubadilishwe leo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom