ukisikiliza clips inaonekana huyo mganga anatumiwa na mama Diamond,mama Hamisa alishaonesha mashaka kama kweli answeza kuwasaidia au kuwashindilia ndio maana akaomba aongee nae yeye kwanzamie naona hii ni kiki tu...wanatuchezea vichwa vyetu hawa...simu ya mganga inarekodiwa..mfyuuuuu
Hamisi ameuzwa na rafiki wa karibu sana,ambae amemlengesha kwa mganga anaefahamiana na mama diamond,kisha rafiki akawatonya wasubiri simu ikipigwa warekodi.
Hamisa ana uchaguzi aidha aombe radhi aanze upyaaaaa au aende mahakamani kuomba asafishwe