Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ahahaa usinikumbusheHuwezi amini ya Ivan imenipita....da mange alisemaje kuhusu Don?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaa usinikumbusheHuwezi amini ya Ivan imenipita....da mange alisemaje kuhusu Don?
Inawezekana ingawa wanasema hamissa alipewa no na shoga ake.
Ila Hamissa unakumbuka wakina cynthia walimtoa kwenye show after kukutwa nyumbani kwa cynthia anafanya dawa? Yaani issue zake hapigi mahesabu vizuri anakurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ubuyu nimeupata mda sana,kila nkija huku haujawekwa, mama ni mwalimu na ndo wanaoturekebisha tunapokosea ila kwa hamissa ni tofauti kabisa, yaani naona wanaona maisha hayawezi kwenda bila Diamond.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee!![emoji23][emoji16]mitihani inanyima umbra wa humu looh!
Wema nae ndo wale wale!
Kweli ma Dada duu kwa kwenda kwa waganga ni hatari, hafu Hamisa anaenda had Bagamoyo, sasa hata isingekuwa mama mond sikuhizi had vijijini taarifa zinafika aisee, Hamisa aachane na ushirikina you can't force love, sijui ununuliwe nyumba huku una behave vibaya, sasa na mama dangote akimuendea kigoma Mobetto si ndo atachanganyikiwa atulie alee wanawe. Mana kushindana na mama mkwe yataka moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamissa kwenda kwa waganga sio jambo geni kwenye masikio yangu. Kuna ka ukweli ndani yake
Raynavero unampenda hamissa ila kwa hili hapana ungeongea ukweli khaaa!![emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni hamissa kweli ....kabisa kwa hili awe mpole tu!
Halafu why hamisa akumng'ang'ania majizzo kama anavyomng'ang'ania Diamond?
Si angetulia kwa yule wa SBL kama Mond haeleweki?
Nilikua nampenda ila anachosha sana aisee mpaka unahisi anazaa ili awatumie watoto kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mloga mtu mwenyewe chibu anavosifika kwa ushirikina usio wa kawaidaHuyu Hamisa inabidi akamatwe tu na kufundishwa kuwa mtu kama hana nia nawe usijilazimishe kwa kumuendea kwa waganga ili akuoe kwani kuna wengine wamekingwa hadi mapumbu, unaroga kumbe unajiua ama kujiroga mwenyewe kwa kujipachika mikosi ya kuto olewa unabaki kuwa kipozeo cha wengine kutwa kucha. Hapa asipojiua mwaka huu basi inabidi arudi kijijini tu akalime, kwa Dar kajilostisha ile mbaya.
Mi nilikuwa najuaga kuroga ni hadithi tu ila nikienda saloon madada duu wakianza story had utashangaa hadi wamama watu wazima, hafu mbaya waganga eti hupaka dawa awaingizie kwa dudu huyo mganga ka si mhuni nini anatamani, mi huo ujinga ulishanishinda aisee,Wanawake wengi si wa bongo movie tu ila asili kubwa ya wanawake hapa Bongo wanaroga tena sana tu. Huyu Hamisa si kama kasingiziwa, anaroga haswa ili apendwe na familia ya Diamond kisha aolewe. It's very pathetic for her, penzi lahina dawa, Mama yake ilibidi amwambie kuhusu hili.
u
Zari aliachanaga na Ivan siku nyingi, though ule ujinga alokuwa anafanya na diamond ulimuumiza Ivan, uzuri na yeye diamond kaja kumuumiza kupitia hamisa, tena mapenzi yamemuumiza Zari kuliko kifo cha mumewe na mamake, maana siku ya msiba wa mamake alikuwa anatekenywa tu na DiamondAlimfanyia nini zari? Zari alimuacha mume na watoto watatu akamfata mtoto mdogo unaona ni haki? Hata zari karma yake ilimpata mapema zaidi
Kuwa maarufu bongo rahisi sana, ni kifungua account tu afu anza kutukana watu wiki haiishi followers wanazidi lakiDuuh hii mitandao ya kijamii inaweza ikakupaisha na kuwa maarufu kwa mambo ya ajabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JANA SIJALALA!
bora huku sikuingia!
mana nilikuwa nahama page kama mkimbizi!
NILIKUWA HOVES kwa kweli!
acha tu huku niingie sa hiz!ningeteguka viwiki vya vidole wallahi!
Kuhusu uchawi hawa wabongo muvi kama huwajui kaa kimya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!tunaowajua mpk waganga wao!hakuna asie mshirikinaaSay what now? Basi haka katoto kameishiwa kimaisha, ni bora ahame nchi tu aende Nigeria walikokubuhu ushirikina, hapa Bongo hana tena thamani.
Tatizo huyo cha uchawi nayeye kazidi kujidhalilisha kwanini nyie team yake msimshauriHilo lajulikana ila sio kua nampenda sana Missa hapana!!ila Wema tukubali anamchukia Misa waziwazi yaani ugomvi wa Hamisa lazima ashadadie halafu mange ndo hua anamuingiza Missa but Missa hajawahi mtukana wema labda kwa siri ila hadharani sijaskia yaani Wema anaumwa jamani na Missa kuliko ilivyo!!!
Hua wanapewa maswali ndio sikatai ila nafikiri yule alifanyiwa manuva yenyewe yotee!
[emoji23] [emoji23] Wema nampenda a anazingua sana mjini!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]yaani kaah!nMange anasema Tanzania sweetheart taji tumvue [emoji16][emoji16][emoji28][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee!!
Naona dada Mkuu kayaamsha tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kwa sakata La uchawi ndo arudi kijijin nambie msanii gani harogii!![emoji16][emoji16]punguza chuki kakaaaHuyu Hamisa inabidi akamatwe tu na kufundishwa kuwa mtu kama hana nia nawe usijilazimishe kwa kumuendea kwa waganga ili akuoe kwani kuna wengine wamekingwa hadi mapumbu, unaroga kumbe unajiua ama kujiroga mwenyewe kwa kujipachika mikosi ya kuto olewa unabaki kuwa kipozeo cha wengine kutwa kucha. Hapa asipojiua mwaka huu basi inabidi arudi kijijini tu akalime, kwa Dar kajilostisha ile mbaya.