yani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanaeAisee wanajua mitaa ya waganga hatari, sio mbagala tu na kwingine sijui wa nafanya hivo ili.iweje
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa kutulia tu.Wanaume mtapata tabu sana aisee ni kuwa makini na vyakula Maji Maji, hafu hali ikiwa ngumu ndo wanaongezeka, kuna Dada ni nurse wa hospital anasema huwa wanapewa hela na madada duu wawape cjui kondo la uzazi na vtu vya ajabu, eeeh nilivoskia nilichoka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa na pia uyo baby mama analoga ila ilo la voice note sijalipata vizuri,ivi inawezekanaje ukampgia mganga simu ukamwelezea shida zako zote bila kufika kilingeni mi siami labda kama alirekodiwa akiwa kwa maganga anaongea apo sawa otherwise wanamsingiziaMbaya zaidii mwanaume hayuko upande wake ,nimeona diamond anaongea shit sijui misa anajisikiaje na ukute hapo misa anasingiziwa bora iwe kweli ,,siku zote nasema ukioata mpenzi au mume anaemsikiliza sana mama yake akawa kipofu kabisa haoni hata matatizo ya mama yake UTAPATA TABU SANAA
Sent using Jamii Forums mobile app
Majey mwenyewe mchawi ndio mana alishindwa kumrogayani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanae
Je kama mganga yupo mbali nae kapewa namba aeleze shida zake atatumiwa dawa!Kweli kabisa na pia uyo baby mama analoga ila ilo la voice note sijalipata vizuri,ivi inawezekanaje ukampgia mganga simu ukamwelezea shida zako zote bila kufika kilingeni mi siami labda kama alirekodiwa akiwa kwa maganga anaongea apo sawa otherwise wanamsingizia
Je kama mganga yupo mbali nae kapewa namba aeleze shida zake atatumiwa dawa!
Kweli aisee hapo nikuwa makini tu na misosi, hahaaaa eti wali na vibamia vimesimamishwa kumbe kashavinenea hivo tayari lohDawa kutulia tu.
Unaalikwa baby njoo ule dinner,umeisha,nilishakuta wali na vibamia vimesimamishwa kwa mbwembwe kwenye sahani ya ubwabwa hapo hapo nikavunga nina harisha
Mi naona kuiloga familia ya mond atajimaliza watu wa Chigoma kwa ulozi hawa jambo aisee, atulie hili sakata liishe mambo yaendelee na maisha yake, Zari atakuwa kafurahi huko aliko aiseeyani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanae
hamisa alivyokuwaga anapendwa na hiyo familia huwezi amini kama wamemgeuka ,kila mwanamke wa dai mwisho wa siku kwao ni mbaya.. Tununu nae akome kudadandia treni kwa mbele alishapata na kichaa cha uzazi lakini bado hataki kuachana na hiyo familia na team yake wanavyombembelezea kwa mond sasaHalaf dai haonagi madhaifu ya ndugu zake,ni wa kumuacha,ukiwa na mahusiano na diamond usijulikane kabisa na ndugu zake labda mpaka ndoa tu,wale watu wagumu sana kuishi nao karibu kila mwanamke wa diamond ananp matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Anauza mchele kutoka Mbeya siku hizi na ni mbeba mikoba ya wema sepetuHuyo Juma Lokole mbona ni maarufu sana aisee (ana shughuli gani mjini)
kuchanganyikiwa dada!mmh hamna uganga wa ivo zaidi ya kutapeliwa,anawezaje ongea mambo mazito ivo kwenye simu labda kama ni mganga wake wa siku zote
uchawi wa mchuzi wa vibamia hatari dadaKweli aisee hapo nikuwa makini tu na misosi, hahaaaa eti wali na vibamia vimesimamishwa kumbe kashavinenea hivo tayari loh
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nilikuwa cjui wanaume mnapitia mengi aisee kuweni makiniuchawi wa mchuzi wa vibamia hatari dada
vibamia vinasimamishwa kwenye mlima wa wali kama kete za draft,ukichomoa tu umeisha
na nyie mtambue kuwa mwanaume makini anatakiwa afanyiwe mambo matano,hata iwe vipi hakuachi,watapiga fitna atarudi tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nilikuwa cjui wanaume mnapitia mengi aisee kuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app