cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,419
yani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanaeAisee wanajua mitaa ya waganga hatari, sio mbagala tu na kwingine sijui wa nafanya hivo ili.iweje
Sent using Jamii Forums mobile app