Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment bora kabisaTambua huo ndio muonekano wako kwa jamii
Ukitembea na taahira hata wewe ni taahiraUkizaa na taahira mtoto anakuwa taahira
Kwenye mitandao wanaongezea utaalamu mwingine, maana kama matangazo tu ya biashara.huyu binti ukikutana nae karibu ni mbaya sana sijui ni macho yangu au kitu gani
EhhHamisa yuko very strategic hata katika mapungufu yake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hapo wanaume wanachanganyikiwa naye ehhh....Hamisa yuko very strategic hata katika mapungufu yake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Yaani umuoe mtu kazaa na majizo na mondi, si kujitaftia presha za rejareja hizo
Kuwaza tu kumuoa huyo unapaswa uchapwe na viboko 70Yaani umuoe mtu kazaa na majizo na mondi, si kujitaftia presha za rejareja hizo
😂😂😂😂Moja ya kali za NumbisaSi ndo kazi yake hio kuzaa zaa ovyo kwenye mahusiano ya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Giles tuu[emoji1787]