Kwa africa watu wanaocheza movie zikawa za mataifa ni South Africa na Zimbabwe.
Waliobaki sijui Ghana na Nigeria mule mule tu movie zao hazina jipya.
Ngoja tusubiri tuione isije kuwa kama ile video ya majanga ya snura eti naye alii shoot S.ABahati nzuri hata hao Wa South Afrika wamo mkuu! kwa hiyo hawajakukosea
Form 4 liver...Ana elimu gani huyu mrembo mpenda child support? Ana English nzuri, haina 'you know' nyingi kama ya Wema😛😛
Basi anajitahidi sana, kuishi mjini kuna faida😀😀By the way sijawahi kumsikia akiongea, nimeona chat zake tu. Au ndo mambo ya Google Translate!?Form 4 liver...
Kumbe ana maini manneForm 4 liver...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kawaida sana ile google translate auna lolote pale kizungu chake cha kawaida tuu wadada wa mjini wengi drama c unajua tena awapitwi na jamboBasi anajitahidi sana, kuishi mjini kuna faida😀😀By the way sijawahi kumsikia akiongea, nimeona chat zake tu. Au ndo mambo ya Google Translate!?
Atakuwa vizuri hujasikia kuwa kahost party nairobi kamnyanganya hilo deal veraAna elimu gani huyu mrembo mpenda child support? Ana English nzuri, haina 'you know' nyingi kama ya Wema😛😛
Safi sana! taratibu wanaomchukulia kama hajaielewi, wataanza kubaini kuwa wao ndo hawajielewi. Mimi naona Hamisaa huwa anajuwa anachokifanya ndio maana Diamond anatoa pesa ndefu per day
Kuna movie hapa Bongo kaigiza inaitwa Chausikuhahahahha.amewahi kuigiza ipi.hawa mademu wa town shida sana
ikoje? nzuri? manake mademu wa bongo ni wauzaji wa k na sio kuigiza..hao wote bongo muvi haoKuna movie hapa Bongo kaigiza inaitwa Chausiku
Liver hiihii ya INI au leaver,mkuu?Form 4 liver...