Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
sio movie mpya hii?Nahisi hii movie hamisa kaigiza kama msichana wa kazi...
nishawahi kuona baadhi ya vipande zamani sana
liver>>>>leaverForm 4 liver...
Aha kumbe! Yule aliyekuwa anamfundisha miondoko? Nashukuru maana mimi sinema za Bongo sizifahamu ila hii niliiangalia kwenye basi, kuanzia siku hiyo nikaitafuta mpaka nikainunua. Sijui hata nilipoiweka but Chausiku sitamsahau. She acted to her best. Hivi anaitwa nani na alishaact film nyingine huyu Chausiku? Usinichoke bibi mie.Alikua ni mwanammke ambae walichagua familia ya chausiku kuwa ndie awe mwanammke wake.... alikua Richgirl
Kumbe anaitwa Shamsa Ford. Hivi mbona hawamtumii kuact serious films Tanzania. Yule anaweza act hata kwenye international movies. She has not jokes, hana mambo ya kurudia rudia mambo, hajishaui na director wake alimchagua vizuri. Nampenda sana yule mtoto.Kwa kweli ile picha Shamsa Ford kaigiza vizuri balaa na wale mashoga zake, ile picha naweza iangalia ht mara 20.
ameigiza nyingi sana japo sizijui majinaAha kumbe! Yule aliyekuwa anamfundisha miondoko? Nashukuru maana mimi sinema za Bongo sizifahamu ila hii niliiangalia kwenye basi, kuanzia siku hiyo nikaitafuta mpaka nikainunua. Sijui hata nilipoiweka but Chausiku sitamsahau. She acted to her best. Hivi anaitwa nani na alishaact film nyingine huyu Chausiku? Usinichoke bibi mie.
umeuliza au umenijibu?sio movie mpya hii?
Nimeuliza, umesema kuwa ulishaona vipande vya movie zamani, ndo nauliza hii movie si mpya??? Au? Make naona ndo inatangazwa coming soonumeuliza au umenijibu?
sijaelewa em nifafanulie mkuu
yes niliona mwaka huu miezi ya <5Nimeuliza, umesema kuwa ulishaona vipande vya movie zamani, ndo nauliza hii movie si mpya??? Au? Make naona ndo inatangazwa coming soon
ooh okayyes niliona mwaka huu miezi ya <5
ila mwaka huu huu alikua anaigiza kama anapigwa na mwenye nyumba ni drama movie nahisi, Lugha wanatumia English
Hehehe!Kuna movie nyingine kaigiza na Brad Pitt.
Nasikia alilipwa dolar 100 .Vera alitaka mkwanja mrefu.Atakuwa vizuri hujasikia kuwa kahost party nairobi kamnyanganya hilo deal vera
Hamisa hakuitendea Haki hii chausiku.Swali aliigiza kama nani maana mimi filamu pekee niliyoiangalia na kuipa point ni Chausiku. Mhusika mkuu hawezi linganishwa na mwanamke yeyote Bongo kwa jinsi alivyouvaa uhusika wake. Ilibidi ninunue hiyo kanda. Huyu sidhani kama anaweza kuwa chausiku.
That cannot be true, dollar 100 si sawa na laki mbili na thelathini kasoro jamani?Nasikia alilipwa dolar 100 .Vera alitaka mkwanja mrefu.
Liver?!Form 4 liver...
Ndio Hivyoo Mkuu.That cannot be true, dollar 100 si sawa na laki mbili na thelathini kasoro jamani?
Nilikuwa namanisha leaver ujaelewa nini sasa yani umu jf kuna mak*ma wanajikuta wasomi kis*nge yani ukikosea kidogo tuu awo kama awajaelewa vile me wananiuzi kis*ng* yani mrekebishe mtu kistarabu na c kujikuta ww ndo unajua sana stupid....Liver?!