Hamisa Mobetto ndiye mrembo anayetikisa kwa sasa

Hamisa Mobetto ndiye mrembo anayetikisa kwa sasa

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Japokua she is not one of my favorites , ila ukweli usiopingika Hamisa Hassan Mobetto , ndiye mrembo anayekubalika kwa sasa na mwenye mvuto kwenye jamii ukilinganisha na mastaa wenzake wa kike.

Ni mama wa watoto wawili, But ameweza ku maintain umbo lake na kujiweka vizuri siku hadi siku, ukiwa unazungumzia mastaa wakali bongo , jina la Hamisa Mobetto linacheza ndani ya Top 3.

Nafasi ya pili inashikiliwa na Nandy. Japokuwa Nandy ni mrembo zaidi ya Hamisa, na ana pesa na mafanikio kumzidi hamisa, Nandy amezidiwa swagga na Hamisa na jinsi ya kuji brand (Nyota). Nandy anafanya vizur kwenye career yake ya muziki, Lakini hana umaarufu na mvuto kumzidi Hamisa Mobetto kwenye jamii. Pia inasemekena kuwa warembo hawa haziivi .

IMG_6564.jpg
 
Ameshatumka sana na ni miongoni mwa single mothers!

Wanasema ni mdangaji kama wengine!

Naona spring chickens watakuwa mashuleni au wanajistiri hawataki kujianika kwenye mitandao!
Achana na kutumika kwanza hana sifa ya urembo kiasi hiki ambacho amepaishwa

Kuna kitu kinaitwa power of makeup, kiufundi unaambiwa makeup haimkataagi mtu labda ukutane na decorater ambaye ni underdog

Sasa tuko katika zama za tecnolojia yenye masimu na mikamera yenye sensor za kutosha MP za kuzidi.

Kapigwa makeup, kajilipua picha, nayo picha kaipiga filter za kutosha inatoka hapo inapitiliza adobe inafanyiwa mixing za hatari kisha inapostiwa IG

Na ndio maana kuna mdau mmoja humu aliandika uzi akitaajabu kumuona uwoya sabasaba akiwa na sura tofauti na ile ya insta
 
Hamna kitu hapo, hapo mmezugwa na ma-filter plus make up na ubora wa camera ndio unao mpaisha

Hapo credits nampa camera man na yeyote aliyetia mkono kwenye editing ya picha.
Umemalizaaah haswaaah, nime muona hamisa live hyatt regency tena karibun tyuuuh,
Alikua na make up ya kawaida, jaman sikuamini hat kidogo, had niliyekua nae akanithibitishia ni yeye huyo, maan kawa tofauti na kabisa na anavyoonekana kwenye picha.
Khaaaah pongezi kwa camera, editing, na filter. Lol
 
Back
Top Bottom