Hamisa Mobetto ndiye mrembo anayetikisa kwa sasa

Wabongo..Hamisa akiwa mbaya hao wazuri watakuwaje aarrgghh
 
Sure aisee anafanyaje mapenzi na mtoto
Tunamlaumu Kanumba ,ila Lulu tunao mjua tokea yupo Tabata wakulamiwa mama yake,kutembea na watu wazima alianza zamani sana.

Mama yake kipindi cha nyuma alikuwa mlevi mbwa,alikuwa anaenda kwenye mabaa na mwanae kipindi Lulu anavuma Kaole ili apate offer za bia so huyo dogo umalaya alianza zamani,ila tukio la Kanumba limempa shule kidogo katulia.

Njoo Tabata hapa St Mary College uwaone mabwana zake wa zamani wa Mama Lulu,wote afya zao mgogoro gongo imewanyoosha.

Kwa kifupi huyo Mama yake Lulu ni mcharuko.
 
Alimu expose mtoto kwenye Mambo makubwa mapema Sana, Hadi yakamuletea mtoto mikosi, Ila nowdays Lulu katulia zake
 


Yeah, kwahiyo Kanumba hakufanya kosa lolote, ilikuwa sawa tu kukabandua katoto kwasababu watu wa Tabata wamesema. Yaani Wabongo Mnapopitisha judgement zenu wala hamtumii akili wala sheria.
No matter what, ukiwa mtu mzima ni kinyume cha sheria kufanya mapenzi na mtoto mdogo. Period.
 
Sasa brother we mtoto wa kike umemu-expose kwenye ulimwengu wa mafisi unategemea nini?

Mama mtu ana enda bar anategemea kulewa kwa jina la mtoto wake,wewe unategemea nini?

Sawa Kanumba kakosea ila Mama Lulu alifeli kwenye malezi ya mwanae,sasa mwache mwanao azagae zagae kwenye mabar ,ukitegemea kila mtu atakuwa na huyo moyo wako wa JUDGMENT alafu uone,kuna watu wanachojua ni ana K na ZAKARIA anapita hawajali utoto wake.

Ukipanda bange utavuna bange,ndio maana wahenga alisema asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na walimwengu,sasa hapo kwenye walimwengu kuna wenye kujua utu na wasiojua kabisa utu.
 


Narudia tena kwa herufi kubwa. NO MATTER WHAT, UKIFANYA MAPENZI NA UNDERAGE, YOU BELONG TO PRISON.
 
Ni kweli hamisa anatamba sahivi ila asipojitambua na kuendekeza mateam ataishia kama wenzie
 
Nandy hana uzur wowote na ule ufupi,kakomaa,sema labda ana muonekano
 
Leo Insta kasema yeye siyo “single mother” Eti sababu mabwana alozaa nao wanamsaidia kulea wanae !

Sasa maana y single mother hasa labda sijaielewa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…