Hahha nimecheka my dia eti ajiandae na mimba nyingine haha .labour ambassador haha si walimsema sana zari haha zamu yao...na badoAlee mtoto ajiandae na mimba nyingine kutoka kwa chidy Benz
Hamisa hajasema mtoto ni wa Dai, jina Abdul Naseeb ni la kiislam kila mtu anaweza kulitumia. Mwache ajitafutie kick apate matangazo InstagramHivi ikigundulika mtoto sio wa diamond itakiwaje!!!!!
Binti mdogo ameshakua incubatorHahha nimecheka my dia eti ajiandae na mimba nyingine haha .labour ambassador haha si walimsema sana zari haha zamu yao...na bado
HahahahahKiki zitawauwa wallahi, angetulia akajilelea mtoto wake kama Faiza, hakuna mtu wa kumuuliza 'baba nani'
Sasa yeye anajitangaza, afu anakanwa lol, maevidence yanaletwa, bado unakanwa jamani. .
Ngoja nkakojoe nilale
Diamond) .Habari ya mujini ndo hiyo
Mlokua hamjui ndo mjue tena muipate ikiwa ya moto kabisa. Habari ni kuwa Hamisa Mobetto ndo mke mtarajiwa wa Diamond Platnumz hehehee kwaheri Zari.
Habari ndo hiyo kwahiyo team Zari mjiandae kisaikolojia kabisa kwamba bibi akubali kuwa na mke mwenza au aende Uganda hahahaha
#hamisa#forever
[HASHTAG]#Penzi[/HASHTAG] la Hamisa halijawahi kumuacha mtu salama
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahaAlee mtoto ajiandae na mimba nyingine kutoka kwa chidy Benz
Hill la mwisho ndo jibu yule bibi wa kiganda ana limbwata moja matata alifanya mpaka domo kamsahau Wema kipenzi chake itakuwa hamisaWanashindanaga upuuzi tu,,,ila kwanini daimond anamkana mtoto?mi nahisi huyu mtoto baba ake mwingine kabisa,kama dai ni wake ina maana anamuogopa zari
Kaona watu wamemkomalia kuhusu mtoto kaamua aue soo akaja na kiki mpya yaani huyu tushamzoe bila kiki mambo hayaendi
HAKUNA LOLOTE ZARI IZ ZEA TU STAY HUYU MUBETO NI WA KUKAZWA NA KUACHWA TU ...READ MY LIPS!!!! KAMA KUNA MTU ANA AKILI NI DAIMONDNinasikia arobaini ya mtoto inaandaliwa ambayo haijawahi kutokea.
Mtoto hana baba, alipandikizwa kwa chupa kama ng'ombe tehhahahahahaha
Diamond) .
Niliposikia beat tu nikatamani nifanye verse/ Nikamcheck Ngosha akaniambia mbona fresh/ Upesi upesi nikaandika nimurde kesi/
Na sasa ngoma mtaani imenuka kama kinyesi/
I started young kabla sijaitwa Chibudenga/
Enzi hizo naitwa Domo eti siku hizi lips Denda/ Baba Tiffa mnaniita Baba Nillan/
Nasikia naitwa Baba Abdul, kuna mambo mitaani /
Mzuka ukipanda ukate viuno kama Vanga/
Kwa beat ya Kubanda inayobakwa na muuza karanga/
Ukinichukia sikose hela hivyo kwangu sio kesi/ Kunicompare na Cinderella haiwezi kuwa fresh/ Simba kutoka mbuga ya Tandale/
Naona swala wanaforce tuwe sare sare/
Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kalle/
Si walitaka kiti, nimewapa hadi kitanda wakalale . . .
S
Yaani mond akisema anaachana na zari mtu wa kwanza kurudi ni Wema maana pamoja na mane no yote lkn hajawahi kumtukana Wema wala kumuongelea vibaya zaidi zaidi anamsifia kwenye nyimbo zake na akiulizwa kama bado anampenda Wema huwa hatoi jibu la yes au No, hamisa namuonea huruma hataki kuamini kwamba ye kwake ni mchepuko tuTatizo Hamisa hajui kula na kipofu, Zari anaweza akaachana na Diamond, Lakini asimuoe Hamisa akavuta mwanamke mwingine au arudiane na sepetunga wake Hamisa Apambane tu na Hali yake anajidhalilisha kulilia status hadharan wakati Mwenye kukupa Hiyo status kakuchubulia anazidi kukuponda.