Ubaba huo uliokuwa na shaka unaufosi mwenyewe Nilan chapa ya ivan bora hata yule mganda angekuwa hajawahi kukutana na ivan ila kam huoni basi hata picha hutazami wanawake sie tuna siri kubwa sana ikipita DNA kama kile kipindi cha tv watu paa wamezimia unakuta watoto wote sio wako
Nakupendaga kwa kurusha mikuki pwaaaa bila kupindisha.
Amebadili tone ila wapi
Nimekuja leo uso kwa uso toa hilo kombeHa ha haaaaaaaaa Ray waniache
Njoo nikupe kombe kwa kujitoa ufahamu.
Nini picha eti hata sms au voice calls za dai hana,inakuaje mtu mpo mapenzin asikutumie sms au kukupigia simu aisee. Kama ni kweli anapendwa au alipendwa amwage ushahid bana watu waamue
Hahaha tangu asubuhi yupo hapa anamtaja wema tu
Inasikitisha sana .. Namuonea huruma sanaAliachwa na baba mtoto kwa sababu ya kuwa puta alipomgundua na sio Lulu. bado hajifunzi. Akafikiri kwa D atamkamata imekula kwake hata picha ya kuibia wakiwa kitandani hana kama vile simu zake zilikuwa zinagungiwa na kupewa akiwa getini anaondoka.. hadi kumroga kashindwa eti sasa hivi anaogopa kurogwa kwa kuwatishia!!! Tabu yake ni uputa aliyemlea naye hajaa puta. Ila kashushuliwa.. aende kumshitaki sasa wafanye DNA kama ni gangwe jike. Ndio maisha ya kuwa puta na kujulikana yeye ni puta kama wenzake wengine tuwajuao.
Inasikitisha nchi hii watu wengi kuwashadadia hawa maputa kuwapa title za kama wao ni wao kuzidi wasio maputa, huku wao ni mifano mibaya kwa wasichana.
Wewe kazae na mume wa mtu ukubarike uje utuandikie hayo. Huyo mtoto umejuaje ni wa Dai? Hamisa amedanya DNA? Anajulikana kwa kuwa puta ili aishi, unafikiri kwanini amelosti ma kubaki na damu yake mbaya ya kisomali kupiga maneno tu.. alifikiri yupo kwao huko baada ya kuzaliwa na mkimbizi aliyekuja nchini hapa!?
Mbona hujamuongelea tiffa hapo au nae bado mnasema wa katunzi?
Mwanaume hawezi kujitapa kwa sababu anaogopa kupewa za uso au hata kutolewa uhai kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] lkn wanawake vijembe na maneno ya kujikweza kwa wakewenza ni kawaidaHaha ila kweli wanawake jaman ni wa gonjwa,....kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyew,.......yani hivi viumbe sijui vinaubongo gani yani wanaume huwezi mskia anajisfia mbele za watu kuwa kazaa na dem wa jamaa flani ni ushwayani na fedhea sasa huyo mtoto akilelewa single mother atakuja mlaumu baba kweli wakati tu mama alipigwa bao la bahati mbaya na mtoto kukataliwa,...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena kweli msgs mawasiliano hata kadunchu eeeeh.. milembe kunanafasi maana mtu anatendwa hakuna mawasiliano na kuzaa eti unazaa ukiamini utabebwa na kupata mtoto nae awe baby shop baby ha ha haaaa
Hapo sasa hadi leo kakosa ushahidi kabisaaa na kuumia hadi kuwaita watu wachawi sijui watamloga hana hata aibu kuwasema waswahili wenzake.. ujanja hana.
Labda leo atapokea pesa za kumtunza mwanae wa kwanza ndio aende kuhonga watu watengeneze uongo. Ambao ni hana kabisaaa lazima angesharusha.
Kashushuka msomali ana roho ya chui yule
Hebu tuambie zari aliolewa lini ovyo yeye mwenyewe watoto wote wa zinaa nina mume wangu sina shina ya kuzaa na mume wa mtu wangu ananitosha wote malaya hao na huyo bwana wao asiofunga zipu na kutumia kondom ovyo
Wewe kazae na mume wa mtu ukubarike uje utuandikie hayo. Huyo mtoto umejuaje ni wa Dai? Hamisa amedanya DNA? Anajulikana kwa kuwa puta ili aishi, unafikiri kwanini amelosti ma kubaki na damu yake mbaya ya kisomali kupiga maneno tu.. alifikiri yupo kwao huko baada ya kuzaliwa na mkimbizi aliyekuja nchini hapa!?
Wewe lazima mumeo kazaa nje na hivyo hujui hata kusaka pesa zako upo unamshikilia na kumsaidia kulea watoto wa nje. Mwanamke mvivu hasie na akili za kujisimamia ndio atakubali mumewe azae nje nae akae tu kimya.. unatia aibu kisikitikie... kumbe upo hivyo lelelele duh usiniambukize hayo ya kukaaa shimoni kisa huna hata akili ya kujiingizia sh 1. Pita hukoooooo msaidie kulea hao wa nje. Zari mke wa Diamond.. sisi tunasoma international news jamani wanamuita hivyo aoooooo.. two kids.. house.. car etc wifey huyoooo
Huu Uzi unawazungumzia watu wa 3 hamisa, zari, mond na kati ya hao wote siko side yoyote maana naona wanacheza na akili zenu tu kisa kuna nyimbo mpya imetoka au inataka kutoka , ila hili la uteam kuna kuwa team Fulani na kumpenda mtu, kama kumpenda mtu ndo kuwa team Fulani bas Niko, team Wema, team Lulu, team jokate, team flaviana, team jk, team lowasa n.k maana hao nawapenda tuHaha eti uteam acha hizo wewe ni team wema maana humu umemtaja wema mara mia kidogo.
Unanichekesha sana na wala usinijue siishi kwa kutegemea mwanamme hata kama nimeolewa nimekwambia wangapi wameoa na wanazaa nje huyo malaya wako kama ndio wewe mwenyewe ovyo kwa dini gani aliolewa povu lako kaoshee huko sizai ili nirithi mali za wanaume kama wewe zari ulivyo hovyo namiliki mjengo wa maana niliotafuta kwa jasho kafie mbele huko ovyo usivae watu kama pazia la sinema kajambe mbele huko kulazimisha watu wameolewa
Hehehehe mamamae wallah watu MNA maneno khaaaBinti mdogo ameshakua incubator
Nimekugusa haswa umebaki mataaa nimekusomaje ulivyo... ha ha haaaa
Kuwa mwanamke sio msubiria.. hata shule nenda kasome ujiongeze.
CIAO
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mara paap Jf inageuka kuwa instaUnanichekesha sana na wala usinijue siishi kwa kutegemea mwanamme hata kama nimeolewa nimekwambia wangapi wameoa na wanazaa nje huyo malaya wako kama ndio wewe mwenyewe ovyo kwa dini gani aliolewa povu lako kaoshee huko sizai ili nirithi mali za wanaume kama wewe zari ulivyo hovyo namiliki mjengo wa maana niliotafuta kwa jasho kafie mbele huko ovyo usivae watu kama pazia la sinema kajambe mbele huko kulazimisha watu wameolewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alee mtoto ajiandae na mimba nyingine kutoka kwa chidy Benz