Hamisa na Majizzo warudiana

Hamisa na Majizzo warudiana

Awaulize akina wema , walihongwa nyumba za million 400, na Range Rover na kufungulia makampuni juu, sasa hiv yuko wapi , anabaki kuhaha, yeye anajifananisha na zari wakat hampat hata unyayo
ILA LIKE SERIOUSLY mama Dylan anaweza kuwaza anashindana na zari enh?
THE ONLY THING WANAFANANA NI RANGI YA ZIVU nakwambia!
tena usikute mwenzie ana la burgundy!
 
Miss you too binamu , I'm back aaaah
rudi hapa tusogoeeeeeeeeeeeeee!
kwanza uje na ubuyu wa kina Irada na Waziri !
naskia Sabrina anaolewa jioni hii au kashapigwa ndowaa!
wee naeee siku hizi kama wanja wa njiti!
psyuuuuu heb kausake ulete!
 
Wema alikua na makampuni na lipstick yake , kiko wapi , biashara kama huna akili haiendi
lipstick zimerudi!
sijui anaziuzia wapi!?
tukanunue siku moja!
tuuunge mkono Tz ya viwanda!
ulivo mtata utaanza kubisha!
 
rudi hapa tusogoeeeeeeeeeeeeee!
kwanza uje na ubuyu wa kina Irada na Waziri !
naskia Sabrina anaolewa jioni hii au kashapigwa ndowaa!
wee naeee siku hizi kama wanja wa njiti!
psyuuuuu heb kausake ulete!

Irada kafanya nini..? Manake umenifanya nilog in kupata habari kamili
 
rudi hapa tusogoeeeeeeeeeeeeee!
kwanza uje na ubuyu wa kina Irada na Waziri !
naskia Sabrina anaolewa jioni hii au kashapigwa ndowaa!
wee naeee siku hizi kama wanja wa njiti!
psyuuuuu heb kausake ulete!
Huyu Irada ni Wife material kabisa sijui wanaume wanataka nini atiii
 
Awaulize akina wema , walihongwa nyumba za million 400, na Range Rover na kufungulia makampuni juu, sasa hiv yuko wapi , anabaki kuhaha, yeye anajifananisha na zari wakat hampat hata unyayo
Warumi acha uzushi.sio fresh umbea tunafanya ila muogope mungu.majizzo kigamboni anaishi na mwanamke Fulani tena alihamia siku ile ile lulu alipoenda ndani.muache misa wa watu
 
rudi hapa tusogoeeeeeeeeeeeeee!
kwanza uje na ubuyu wa kina Irada na Waziri !
naskia Sabrina anaolewa jioni hii au kashapigwa ndowaa!
wee naeee siku hizi kama wanja wa njiti!
psyuuuuu heb kausake ulete!
wambea mjini tupo wengi..[emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Ya Ndani huyajui shoga..
Na asili ya wanaume ni tamaa..hata uwe mzuri vipiii!
Yawezekana ana mapungufu yake ila yule dada yuko poa sana. Sema mume ndo kicheche hajatulia kabisa
 
Lulu alikutwa na hirizi inapumua, dada zake Majizzo hawana hamu nae. Mjini mambo ni kushare, kwenye hii chain atakaegundulika na ngwengwe mbona patakua padogo.
Ila mwanamke akishaingia kwenye hayo mambo inawa "put off" sana wanaume..
Nashangaa pamoja na mahirizi yote lakini kaingia segerea?! Ujinga mtupu..nakwambia waganga wakienyeji wanawapata mazuzu kama hawa na kujitengenezea kula nzuri sana mjini! Akili kweli ni nywele, kila mtu anazake..
 
Back
Top Bottom