Hamisa official host for Miss Tanzania 2018

Nchi ya ajabu hii..! Hilo shindani lenyewe linaongozwa na wadangaji why wasipeane shavu? Ata hao mamiss ni wadangaji wote tuu

Fikiria:

Sepetuko
Njoketi
Nsumari
Mke wa mzee machache
Nkota mke wa nyarandua
Yupo huyo miss wa zamani basillia

Wote hawa wote wameishi mjini muda wote kwa kudanga.
 
Duuuh mtoto mzuri inaonekana unawajua vema hawa watoto wa kike wenzio.
 
Huko Instagram na Facebook kuna viingilishi huko maana hakuna aliyesoma shule ya kata wote ni watoto wa English Mediums.
Utasikia “I’m happy with you”
 
Sasa hilo la ku host ni jambo zuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…