Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
HAMISI HERI KUTOKA UASISI WA TANU 1954, KURA TATU 1958 HADI AZIMIO LA ARUSHA 1967
Familia ya Hamisi Heri imeipatia Maktaba picha ya Hamisi Heri mmoja wa waasisi wa TANU, Tanga.
Picha imepigwa Korogwe mwaka wa 1967 wakati huo Hamisi Heri akiwa Mwenyekiti wa TANU wa Mkoa wa Tanga akikagua miradi ya maendeleo katika siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.
Tanga kuna Mtaa unaitwa Maua lakini Hamisi Heri hana mtaa.
Ukiuliza nini maana ya Mtaa wa Maua Ngamiani walipotoka wazalendo kama Hamisi Heri, Rashid Sembe, Mohamed Kajembe waliopigania uhuru wa Tanganyika hupati jibu.
Tanga amkeni muokoe historia ya mji wenu.
Familia ya Hamisi Heri imeipatia Maktaba picha ya Hamisi Heri mmoja wa waasisi wa TANU, Tanga.
Picha imepigwa Korogwe mwaka wa 1967 wakati huo Hamisi Heri akiwa Mwenyekiti wa TANU wa Mkoa wa Tanga akikagua miradi ya maendeleo katika siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.
Tanga kuna Mtaa unaitwa Maua lakini Hamisi Heri hana mtaa.
Ukiuliza nini maana ya Mtaa wa Maua Ngamiani walipotoka wazalendo kama Hamisi Heri, Rashid Sembe, Mohamed Kajembe waliopigania uhuru wa Tanganyika hupati jibu.
Tanga amkeni muokoe historia ya mji wenu.