Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr Slaa hakuwahi kurudisha KADI ya CCM alipohamia CDM.Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Nakazia hili swaliYeye cheti cha watu cha shule alichoiba amerudisha lini?
Binadamu ni wepesi wa kusahau!Saidi Bagaile hata wewe ?
HahahahaaaHizi sarakasi zinazoendelea ngoja tuandae popcorn [emoji897] , Dr Bashiru atapigwa pressure hadi ajiuzuru!
View attachment 2423008
Fikiria Kigwangalla angeruhusiwa kutibu pale Muhimbili, wangekufa wengi kwa dozi ya tukutukuDr Slaa hakuwahi kurudisha KADI ya CCM alipohamia CDM.
Lowassa alipoenda CDM hakurudisha ya CCM.
KADI ni Mali ya mwanachama, akihama mnamfuta kwenye rejesta.
Badala ya kujibu HOJA za Bashiru mnauliza vijimaswali vya kipuuzi.
Wao hawana shida ya umeme na maji.Ccm wapo serious na bashiru kuliko suala la umeme na maji
Hili Taifa haliwezi kuendelea kwasababu tajwa hapo juu👆Mjielekeze kutoa matamko ya suluhisho la matatizo yanayotatulika.
Hii ni kuijanza nchi ujinga. Tunapoonyesha uchangamfu kwenye side issues huku core issues zikibaki yatima
Mswahili mswahili tu..ndio mambo ya kuongea hayo? Ukiangalia sana yamejaa visasi au kwanini. Kama nchi press conference ziwe za agenda za kuleta maendeleo. Kusutana muende Lango la Jiji mkaimbiane taarabu za mafumbo.Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Hawana hata haya...wanaona poa tu tunavyopigikaWao hawana shida ya umeme na maji.
Tena utulie kabisaNgoja nivute kiti
Ni kigwangalla kumbe!!Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Hamisi Kigwangalla: Dawa yako ni Prof Adolf Mkenda.Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Watu washasikia reshufle inakuja sasa wanahaha kusaka teuziHizi sarakasi zinazoendelea ngoja tuandae popcorn [emoji897] , Dr Bashiru atapigwa pressure hadi ajiuzuru!
View attachment 2423008
Kwa kosa ganiBashiru kama yumo ajiuzuru tu ubunge