peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Godwin Mollel alirudisha lini kadi ya chama cha Chadema , wala namba ya kadi yake ya CCM