Hamisi Kigwangalla huna "moral authority" ya kupigania mabadiliko sahihi ya mfumo Simba SC.

Hamisi Kigwangalla huna "moral authority" ya kupigania mabadiliko sahihi ya mfumo Simba SC.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa shabiki tu.

Pamoja na haya yote ukweli ni kwamba Hamisi Kigwangalla hana "moral authority"/utashi wa kimaadili kudai mabadiliko anayoyataka Simba. Hamisi Kigangalla ambaye sio muumini wa uongozi wa mfumo imara anawezaje kudai, kutaka na kushinikiza uwepo wa mfumo imara wa uendeshaji/uongozi ndani ya Simba?!
 
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa shabiki tu.

Pamoja na haya yote ukweli ni kwamba Hamisi Kigwangalla hana "moral authority"/utashi wa kimaadili kudai mabadiliko anayoyataka Simba. Hamisi Kigangalla ambaye sio muumini wa uongozi wa mfumo imara anawezaje kudai, kutaka na kushinikiza uwepo wa mfumo imara wa uendeshaji/uongozi ndani ya Simba?!
Umeyatimba
 
Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa shabiki tu.

Pamoja na haya yote ukweli ni kwamba Hamisi Kigwangalla hana "moral authority"/utashi wa kimaadili kudai mabadiliko anayoyataka Simba. Hamisi Kigangalla ambaye sio muumini wa uongozi wa mfumo imara anawezaje kudai, kutaka na kushinikiza uwepo wa mfumo imara wa uendeshaji/uongozi ndani ya Simba?!
Kigwangala alishafanya jambo gani hata kwenye uwaziri wake lililodumu hadi sasa.?
 
Achana nae.

images (1) (1).jpeg


Matembele/SalivaFront
 
Mangungu anadanganywa na Kigwangala na mwigulu kwamba watampa connection ya Ubunge kupitia ccm
Anazeeka vibaya huyo mbabu...toka ale hela za utopolo kwenye derby akashinikiza apangwe Manula akili hazijamkaa sawa...huyo ndo alifanya simba ikayumba toka hyo siku ikadrop kabisaa..hafai hata kwa kulumangia...
 
Anazeeka vibaya huyo mbabu...toka ale hela za utopolo kwenye derby akashinikiza apangwe Manula akili hazijamkaa sawa...huyo ndo alifanya simba ikayumba toka hyo siku ikadrop kabisaa..hafai hata kwa kulumangia...
Mzee wa hovyo huyu. Huyu ni tafsiri sahihi ya maskini mjinga mjinga.
 
Back
Top Bottom