UmeyatimbaHuyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa shabiki tu.
Pamoja na haya yote ukweli ni kwamba Hamisi Kigwangalla hana "moral authority"/utashi wa kimaadili kudai mabadiliko anayoyataka Simba. Hamisi Kigangalla ambaye sio muumini wa uongozi wa mfumo imara anawezaje kudai, kutaka na kushinikiza uwepo wa mfumo imara wa uendeshaji/uongozi ndani ya Simba?!
Kigwangala alishafanya jambo gani hata kwenye uwaziri wake lililodumu hadi sasa.?Huyu mbunge wa Nzega na waziri wa zamani wa Maliasii kwa wiki nzima sasa amekuwa akiendesha harakati zake mtandaoni na kwenye redio akidai Simba inaendeshwa ndivyo sivyo na "tajiri" au sijui mwekezaji Mo. Kigwangalla amelikomalia sana hili suala kana kwamba ana maslahi yoyote Simba zaidi ya kuwa shabiki tu.
Pamoja na haya yote ukweli ni kwamba Hamisi Kigwangalla hana "moral authority"/utashi wa kimaadili kudai mabadiliko anayoyataka Simba. Hamisi Kigangalla ambaye sio muumini wa uongozi wa mfumo imara anawezaje kudai, kutaka na kushinikiza uwepo wa mfumo imara wa uendeshaji/uongozi ndani ya Simba?!
MoKwa hiyo hapo simba nani ana moral authority?
Alichonga sanamu ya Nyerere [emoji3]Kigwangala alishafanya jambo gani hata kwenye uwaziri wake lililodumu hadi sasa.?
Mangungu anadanganywa na Kigwangala na mwigulu kwamba watampa connection ya Ubunge kupitia ccmAnatafuta kiki....
Kifupi mwamba hana outstanding record kwenye wizara yoyote aliyokaaAlichonga sanamu ya Nyerere [emoji3]
Mpira unahitaji pesa, yeye anakuja na maneno ya uharibifu tu. CCM wanamuangalia, wanamuacha. Huyu mrundi ni wakuonywa.Kifupi mwamba hana outstanding record kwenye wizara yoyote aliyokaa
Kama yuko serious na Simba apeleke pesa na siyo manenoMpira unahitaji pesa, yeye anakuja na maneno ya uharibifu tu. CCM wanamuangalia, wanamuacha. Huyu mrundi ni wakuonywa.
Huyu mpuuzi ana nini kataasisi kadogo tu Polytechnic kalimshinda pale Nzega ataweza Simba?Kama yuko serious na Simba apeleke pesa na siyo maneno
Anazeeka vibaya huyo mbabu...toka ale hela za utopolo kwenye derby akashinikiza apangwe Manula akili hazijamkaa sawa...huyo ndo alifanya simba ikayumba toka hyo siku ikadrop kabisaa..hafai hata kwa kulumangia...Mangungu anadanganywa na Kigwangala na mwigulu kwamba watampa connection ya Ubunge kupitia ccm
Anajifanya kuifia simba kwa maneno tu. Muhuni kabisa huyu.Kama yuko serious na Simba apeleke pesa na siyo maneno
Mzee wa hovyo huyu. Huyu ni tafsiri sahihi ya maskini mjinga mjinga.Anazeeka vibaya huyo mbabu...toka ale hela za utopolo kwenye derby akashinikiza apangwe Manula akili hazijamkaa sawa...huyo ndo alifanya simba ikayumba toka hyo siku ikadrop kabisaa..hafai hata kwa kulumangia...