Pre GE2025 Hamisi Kigwangalla: Nimeambiwa nafuatiliwa, ila naamini niko salama

Pre GE2025 Hamisi Kigwangalla: Nimeambiwa nafuatiliwa, ila naamini niko salama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua." meaning kuniondoa/kuninyamazisha mie hakupunguzi/hakufuti madhara yanayoweza tokea. Ni siri iliyo wazi ye katangulia tu kusema 😂....Tunaelekea wapi nchi hii?
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Kigwangala, una mpango wa kujipiga risasi kama Lissu? Lissu alilalamika hivihivi juu ya mipango ovu dhidi yake. Mwisho wa siku tunajua kilichotokea. Cha ajabu ni hawahawa CCM wakaanza kumkejeli kwamba kajipiga risasi kutafuta umaarufu. Kuwa mwangalifu.
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Ndugu yangu hamis kikulacho ki nguoni mwako! ile mijambazi iliyobeba pesa za DP world ina hela chafu kishenzi wakiongozwa na yule tumbili anyayejiita spika! Watakutisha sana! lakini mwisho wao uko mlangoni!
 
h
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
amisi andrea kigwangwala acha kiki
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Kigwangwala anatafuta kiki tu afuatwe ana kitu gani.
 
Kigwa anatuchanganya tu, kwenye taarifa yake ya mwanzo hakutaja jina la yeyote, hapa tena anadai watu wake wanafuatiliwa na wasiojulikana, huyu mbona anatuzungusha tu...

Ni kama vile alijitungia story ambayo anaiendeleza kijanja bila kutaja jina la yeyote, sasa hao TAKUKURU na wengine wamfuatilie kwa kosa gani ikiwa hajamtaja yeyote mpaka sasa? wala hajalalamikiwa na yeyote mpaka sasa?!

Usanii wa siasa. Anataka ku trend tu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Watu wameanza kufukua makaburi _joy__joy__joy_ kosa la  @hamisi_kigwangalla amewaambia wa ( 62...jpg
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Hiyo ndiyo ccm yako unayo jivunia kuwa nayo
 
Kigwangala hatatulia hadi apewe kitu! Mama anajua kila kitu!! Ni njaa tu inasumbua!! hakuna cha uzalendo wala nini! Ni kama Polepole alipopewa kitu (ubalozi wa Malawi) makelele ya wahuni hayakusikika tena!!
 
Nimeambiwa kuwa nafuatiliwa - sijui kwa lengo gani, lakini naamini niko salama. Mnaoniuliza msiwe na shaka. Kama nikiitwa TAKUKURU, Tume ya maadili, polisi n.k. siyo mambo ya ajabu, huko ni mahala salama. Watu wangu wa karibu wamekuwa wakipewa vitisho na watu ambao hawawezi kuwataja kuwa nafuatiliwa.

Nimekuwa nikishangaa na kushtuka, maana sina uadui na mtu, na sikutaja mtu. Kujaribu kuninyamazisha haitosaidia kitu maana kama unahisi mimi najua kitu, ambacho sijakisema, jua na wengine wanajua!

Kama umeficha vizuri, hakuna litakalokupata, maana TAKUKURU ama sekretariet ya maadili watataka ushahidi usio na shaka kabla ya kukupeleka kortini. Na siku zote ushahidi hautopatikana, na hivyo kama Jamhuri hatutokupata! Kama wewe ni kiongozi, jiulize tu ukishaiba mali nyingi sana ya umma unasikia raha gani? Utapeleka wapi? Utatumia zote hizo? Utazikwa nazo?

Halafu jiulize, mwenye kosa ni anayetoboa mtumbwi ama anayepiga yowe na kumsonteshea mtoboaji ili wasafiri wote tushtuke? Tumdhibiti?

Kushtuka shtuka namna hii inaonesha watu wanajishuku. Kunifuatilia na kutafuta kunitisha tisha mtanifanya nichambue hadharani taarifa za CAG, za TAKUKURU na michango ya wabunge bungeni nk. Humo kuna viashiria vingi sana vya rushwa na ubadhirifu, je kama Taifa mifumo yetu ya uwajibikaji imefanya kazi ipasavyo?

Nilipozungumza juu ya uwepo wa haja ya kuimarisha mifumo ya uwajibikaji na usimamizi wa mali ya umma, sikuwa na nia ya kumtaja mtu yeyote. Nilipenda kutoa maoni yangu tu juu ya haja ya kuimarisha mifumo/taasisi za uwajibikaji kama Taifa; aidha mifumo/taasisi za kifedha, na mifumo/taasisi za kisiasa. Kama hujaitazama ile interview, nenda kaitazame.

View attachment 2876430
Ndugu karibu tarehe hiyooo tuwepamoja
 
Back
Top Bottom