Pre GE2025 Hamisi Kigwangalla: Nimeambiwa nafuatiliwa, ila naamini niko salama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
You nailed.Anataka ku trend lakini amechagua ku trend kishamba.Hamna uzito wowote kwa alichosema ni kama kupiga ngumi hewa.
 
Uyo Faller anaongeaga Sana akishatolewa kwenye uwaziri, akirudishwa tu ana myuti Kama hayupo.

Uyo Ni mnafiki, namuonaga Ni limbukeni flani,afu mshamba flani mwenye wivu.

Sijajua uyo jamaa Ni kabila gani
 
Ng'ombe wa kufugwa wana taabu sana, usipompa majani kwa muda fulani...hizo kelele ni balaa lake!

Btw, tuko kipindi cha giza totoro na watu wako usingizini wanakoroma, acha tu apige kelele yamkini wezi wakaogopa kwa kuhisi watu wako macho.
Panyaroad au
 
Kazi kweli kweli !! Hiii 🙄
 
Huyu anatafuta teuzi kwa kila hali. Haamini kuwa kawekwa benchi. Anapiga kelele ili aambiwe ‘njoo bwana tule wote, acha kelele’.
 
Hadi mtajane 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…