Aangalie Leo aone namna Xxl ilivyopwaya
Gardner alivyoondoka Jahazi kipindi kilishake sana, wakapita watangazaji kadhaa lakini hakuna aliyeweza kufit, ikaubidi uongozi umwage pesa ndefu ya mshahara kumshawish kurudi tena, so tukubali tu kwamba Team ni kubwa kuliko mchezaji lakini wakati mwingine mchezaji anaweza kuifanya team itetereke
Kuna Gadna na Kibonde, Hando na PJ, Gea na Dinnah Marios, B12 na DJ Fetty na Mchomvu, Dauda na wenzake ( ingawa kwenye kipindi hiki si sana).Sema chemistry ya Gadner na Kibonde ilikua kiboko
Hahahaha hahahahaHuwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangilia
Mawazo ya kimaskini at its finest[emoji769] Clouds kwisha habari yake, hii media Ruge Mutahaba pekee yake ndio alikuwa anaiweza tutasikia mengi Sana
Dogo kazi yake kusema Sure sureSio Perfect uyo ni Kennedy the Remedy babuu,,,ila kweli Perfecto bado mzito mdomoni waga anachapiaga kinyax
James Delicious ni mume wako ?Ila wewe na James Delicius ndio mnatofaut?
Kuongea kiarusha na misamiati ya kihuniBaba Jonii amebuni kitu gani?
Sir huoni kabisa mchanga wa Adam pale CMG?Zipi haswa mkuu kua specific...
Zika likwe likweTafuna pilipili kaliiii kisha shushia na konyagi, ulale.
Hiyo sam ni mtu wa kusifu na kumuabudu jiwe muda woteHakuna mtu wa hovyo Kama Sam Sasali. PB ilikuwa na Hando, PJ na Barbara! Nafuu ungesema ujio wa KP kidogo lkn si huyo Sam.
Sema chemistry ya Gadner na Kibonde ilikua kiboko
trueNatabiri hatakuwa na muda mrefu E FM, atarudi Clouds tena.
Aisee ile chemistry ilikuwa bab kubwa,halafu wote wapiga ulabu na story zinaendana hadi zile salam mwaleko wakisema inanoga