Seba Maganga yupo pale CMG miaka mingi sana hakuna kitu hajuiAlie achiwa viatu vya Ruge Naona vinampwaya Hakika Clouds imerudi hatua nyingi nyuma sanaa isije kuwa ndo tutaendelea kuwa sahau [emoji23][emoji23]
Unaweza ukawa sahihi ila kwa upande wa Maestro nadhani sio sahihi, nakumbuka Maestro pale Clouds fm mara nyingi kabla ya kuondoka alitumika kama mtangazaji anayefanya kipindi cha michezo wakipokezana na Alex Lwambano na wachambuzi wakiwa hasa Shafii na Jeff Leah kabla hajaenda Azam TV, lakini alipofika Efm akapewa nafasi ya uchambuzi wa soka akiwa na Oscar pamoja na Kawambwa, na hapo ndipo akaanza kupata hata dili za kwenda Africa Kusini kuchambua soka la ligi za nje kwa lugha ya Kiswahili. Nadhani hiyo imempa mafanikio. I stand to be correctedClouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Nadhani Clouds hakuna mshahara na marupurupu kama wengi wanavyochukulia, ila wanachofanya wao hasa ni kuwahamasisha vijana wao kutumia fursa ya kuwa clouds kuanzisha biashara na mambo yao mengine na wao wanawapa platform ya kutangaza na kupigia promo bureThis was a difficult / was an impossible move to even imagine. Can Majay pay B12 more money and marupurupu than clouds media ?? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji848]
Au ndo zile “jiji zito hili??”.
Looking forward to see clouds fm without vitamin B.
Kumsifia mtoto wa Tandale kume mponza.
In Africa boss akifa na Biashara inakufa kama sio kuyumba.Alie achiwa viatu vya Ruge Naona vinampwaya Hakika Clouds imerudi hatua nyingi nyuma sanaa isije kuwa ndo tutaendelea kuwa sahau [emoji23][emoji23]
Toka hapa.Ni sawa na Kusema Lionel Messi mchezaji mtiifu wa Barcelona kaenda Arsenal
Sent using Jamii Forums mobile app
Bdozen ndiye anyemjua yupo ktk mngt ya CMG.Nisaidie kumbaini mkuu
Sijammanya bado
Ukiangalia hii clip ndio utajua aliemuondoa kazini BDozen ndio huyo aliye zuia nyimbo za Diamond zisisipigwe na hiyo kauli aliitoa wiki iliyopita.
Sababu hata yeye mwenyewe alisema "nipo tayari kufukuzwa kazi"
Alisemaje?Kuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
OohKuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
Hahahahahahahahah sawa Kusaga tumekuelewa Ye Baba.Aliondoka Dj Fetty sasa karudi. Clouds ipo
Akaondoka Gadna na sasa amerudi. Clouds ipo
XXL kuna vipaji halisi pale. Yule dogo Perfect ataziba pengo lake..
kauli ip iyo tenaKuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza