Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Alie achiwa viatu vya Ruge Naona vinampwaya Hakika Clouds imerudi hatua nyingi nyuma sanaa isije kuwa ndo tutaendelea kuwa sahau [emoji23][emoji23]
Seba Maganga yupo pale CMG miaka mingi sana hakuna kitu hajui
 
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Unaweza ukawa sahihi ila kwa upande wa Maestro nadhani sio sahihi, nakumbuka Maestro pale Clouds fm mara nyingi kabla ya kuondoka alitumika kama mtangazaji anayefanya kipindi cha michezo wakipokezana na Alex Lwambano na wachambuzi wakiwa hasa Shafii na Jeff Leah kabla hajaenda Azam TV, lakini alipofika Efm akapewa nafasi ya uchambuzi wa soka akiwa na Oscar pamoja na Kawambwa, na hapo ndipo akaanza kupata hata dili za kwenda Africa Kusini kuchambua soka la ligi za nje kwa lugha ya Kiswahili. Nadhani hiyo imempa mafanikio. I stand to be corrected
 
"Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media".

Mkuu hapo sidhani maana pale kuna lily ommy anafanya kipindi chenye maudhui kama XXL rejea kwa Jonijo.
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
 
This was a difficult / was an impossible move to even imagine. Can Majay pay B12 more money and marupurupu than clouds media ?? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji848]

Au ndo zile “jiji zito hili??”.
Looking forward to see clouds fm without vitamin B.
Nadhani Clouds hakuna mshahara na marupurupu kama wengi wanavyochukulia, ila wanachofanya wao hasa ni kuwahamasisha vijana wao kutumia fursa ya kuwa clouds kuanzisha biashara na mambo yao mengine na wao wanawapa platform ya kutangaza na kupigia promo bure
 
Kama vile alipanga iwe hivyo akiwa tayari na uhakika wa kazi
Ukiangalia hii clip ndio utajua aliemuondoa kazini BDozen ndio huyo aliye zuia nyimbo za Diamond zisisipigwe na hiyo kauli aliitoa wiki iliyopita.

Sababu hata yeye mwenyewe alisema "nipo tayari kufukuzwa kazi"
 
Back
Top Bottom