Mimi siko kama wewe (sina zile tabia zako) no offense!Kwani alikwambia yupo single?
Mbona kama mmeumia kujua ana babe?
Lol,
[emoji2380]
Lol, none taken,Mimi siko kama wewe (sina zile tabia zako) no offense!
Bebe wa B12 namjua na nilishakutana nae 2018 NMB mwenge.
Acha kuzushia watu
Bebe gani? Ni bebe wake!.Usicheke inabidi utufafanulie sasa ile post yako ya kwanza anamfuata bebe gani wakati huyo ni mwanachama mwenzako? [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
hahahha [emoji23][emoji23][emoji23]Kamfata bebe,
sio mm nimesema ni Konki ndio kasema huo uwanachama mm nimemnukuu tu. 🤣 🤣 🤣Bebe gani? Ni bebe wake!.
Halafu mambo ya uanachama me sijui jamani, usinilishe maneno,
[emoji1316][emoji1316]
[emoji2380]
Aisee unapata tabu sana kueneza itikadi zenu na kuzifanya ziwe normalKwani alikwambia yupo single?
Mbona kama mmeumia kujua ana babe?
Lol,
[emoji2380]
Umemsahau mnyama mkali perfect crispin video vixen wa naniliiiXXL ni kipindi chenye vipaji vingi mno,
Pale kuna
Adam Mchomvu
Fetty
Kennedy the remedy
hao wote hawashindwi kuendesha kipindi.
Ni masikio yako yanapoozaAswaaa ndo maana akikosekana kunapooza
Lol, umeamua kwenda nje ya mada sasa,Aisee unapata tabu sana kueneza itikadi zenu na kuzifanya ziwe normal
Hawa wapuuzi wakishaokoteza taarifa za mitandaoni basi wanajikuta wanamjua mtu nje ndaniMimi siko kama wewe (sina zile tabia zako) no offense!
Bebe wa B12 namjua na nilishakutana nae 2018 NMB mwenge.
Acha kuzushia watu
Kwamba yuko tayari kufukuzwa kazi ila Almasi kaua. ...Kuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
joseph1989 kwani na huko aruhusiwi kumtaja diamond?Au ile kauli yake ya juzi kuhusu ile performance ya Diamond MTV base ndio imemponza.
Wanajiua wenyewe taratibu kwa vinyongo na beef zisizo na maana ,nimeona Majizzo kaposti kwenye page yake ya Instagram.
Ukijibiwajoseph1989 kwani na huko aruhusiwi kumtaja diamond?
Huko sijui ninachojua anapoenda nyimbo za WCB marufuku kupiga.joseph1989 kwani na huko aruhusiwi kumtaja diamond?