mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Kupitia akaunti ya Instagram ya E Fm (efmtanzania) wameandika haya
Hamisi Mandi B. Bozen, kati ya majina yake anayopenda ni The Navigator (msafiri). Kwenye safari hiyo kavusha wengi kiasi kwamba Tanzania ikampa nyota 12.
Ni wakati wa Navigator huyu kutua kwenye uwanja uliobeba ndoto na maono halisi ya mitaa na vijana wote wa Tanzania. Dozen Ametua efmtanzania na tvetanzania : kinachofuata ni kupaa juu sana, tuendelee kuruka na kuzipeleka kileleni ndoto za mitaa. Mafanikio zaidi ya Tanzania yetu yako mbele yetu.
Hamisi Mandi B. Bozen, kati ya majina yake anayopenda ni The Navigator (msafiri). Kwenye safari hiyo kavusha wengi kiasi kwamba Tanzania ikampa nyota 12.
Ni wakati wa Navigator huyu kutua kwenye uwanja uliobeba ndoto na maono halisi ya mitaa na vijana wote wa Tanzania. Dozen Ametua efmtanzania na tvetanzania : kinachofuata ni kupaa juu sana, tuendelee kuruka na kuzipeleka kileleni ndoto za mitaa. Mafanikio zaidi ya Tanzania yetu yako mbele yetu.