Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Mzee baba uneandika kinyonge sana
 
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Wasafi Dozen atatangaza kipindi gani? kama watamtoa LIL pale sawa..
 
XXL ni kipindi chenye vipaji vingi mno,
Pale kuna
Adam Mchomvu
Fetty
Kennedy the remedy
hao wote hawashindwi kuendesha kipindi.
 
Twangara uminikosea mnoooo kutoka chaman Dabo xl bila ww sijui itakuwa vip
 
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
hapo kwenye salary ni BIIIIIG NO, ila wana encourage wafanyakazi hasa hawa wenye majina kutumia fursa ya kuwa pale kufungua biashara zao, watu pekee wanaoweza kuwa na salary nzuri ni wale ambao wametumia nguvu kuwachukua kutoka kwenye radio nyingine au kuwarudisha baada ya kuwa waliondoka clouds na si vinginevyo, alafu hiyo ya kusema eti B12 Efm sio level zake una maanisha nini? wakati zote ni radio, au kwa upeo wako unajiona wewe unaijua industry ya radio zaidi yake? kiasi kwamba unahisi ulikurupuka tu kutoka cluods kwenda Efm? tatizo kuna watu clouds imewapa utumwa wa mawazo kiasi kwamba mtu anaona bila clouds hakuna radio zingine, na huu utumwa umewaingia hada wasanii wenyewe mtu bila clouds anajiona hatafika popote
 
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji2380]
Usicheke inabidi utufafanulie sasa ile post yako ya kwanza anamfuata bebe gani wakati huyo ni mwanachama mwenzako? 😝 😝 😝 😝 😝
 
Halafu mi naona huyo jamaa atapotea wale clouds sijui wan nini si mnaona Diva tumemsahau fasta maana alijiona kile kipindi hakiwi kitamu kama hayupo.
Duh! Kumbe Diva alishasepa?
 
Hivi bado watu wanasikiliza redio? Wanasikilizia wapi?

Kwenye simu ama kwenye gari? Najua tecno ndio zina redio.

Aisee.
Kwani ving'amuzi havina radio?
Na App za radio mbona zipo nyingi tu? Wew hujui tu radio ina burudani ya aina yake.
 
Kuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
Lakini mbona kuna kipindi cha nyuma powerbreak fast walipiga ngoma za huyo msanii ambaye dozen alisema bora afukuzwe kwa kukubali shoo yake?
 
Back
Top Bottom