Kwanza kabisa ujui kuandika Cha pili ujui hata ulichoongea Ni Nini.Hamisa ameanza kupata umaarufu mkubwa baada ya kuwa video vixen wa wimbo wa Salome wa diamond + skendo za kutoka na diamond kabla ya hapo watu waliomfahamu walikuwa wachache diamond ni msanii mkubwa Africa na Kila anaye date lazima awe maarufu cos ndio msanii anayefatiliwa maisha yake kuliko msanii yoyote Africa mashariki na pia anafatiliwa Africa ndo maana baada ya hamisa kudate na mondi akajulikana east Africa, Nigeria, Zimbabwe,Zambia,Namibia etc so dada usipinge hata ukipinga huwez kubadilisha ukwel.