Hamissa Mobetto ametua Jana akitokea Dubai, Diamond yuko wapi kwa sasa?

Hamissa Mobetto ametua Jana akitokea Dubai, Diamond yuko wapi kwa sasa?

But she is everything in his life....rejea kutembea kwa magoti dar to sauzi....

hakuna shujaa wa vita anayeweza kushinda vita iwapo nyumbani ana ugomvi na mkewe....domestic peace brings success to a strugling man.

zari kabeba 90% ya mafanikio ya domo...alipokuwa na dada zetu ziro brains hawa alikuwa wa kawaida sana....na asingekuwa na zari tayari hamorapa angeshamfunika mbaya.
Ujio wa zari ndio uliobadilisha maisha ya domo...

kampa exposure na kamjengea confidence kama mwanamme kwa kumzalia na kama mfanaya biashara kam brand.

Tuwe wakweli tuu...zari katengeneza almost a billion tshs kwenye single event ya zari all white party....ni mwanamke gani wa domo mwenye akili hizo?....zari kichwa inafikiri zaidi ya mashine...

achana na hawa wanaolipiwa tickets wakaliwe kiboga dubai wakipata mimba wanakimbilia mahakamani kuomba child support....TRUTH BE TOLD...NOW OR LATER.
Umeongea kimahaba kwa zari hamna hicho kitu!
 
Huyu malaya wa kawaida sana basi tuu njaa zetu wanaume....hana quality za kusema mtu unagonga mpaka mimba na mtoto juu. Hawa ni type za kuvaa ndom 2 x 2....upstairz hakuna kitu kabisa...kweli mungu hakupi kila kitu ila wapo wachache waliopendelewa kila.kitu...zari is amongst the few blezzed ones.
Blessed with nude pictures?!! We unaweza oa au kuruhusu ndg yako awe na mtu mwenye picha za ngono mtandaoni?acha ile ya kua na watoto 3!

Mwanamke utupu wake dunia nzima unamuita blessed?![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ur not serious!!
 
But she is everything in his life....rejea kutembea kwa magoti dar to sauzi....

hakuna shujaa wa vita anayeweza kushinda vita iwapo nyumbani ana ugomvi na mkewe....domestic peace brings success to a strugling man.

zari kabeba 90% ya mafanikio ya domo...alipokuwa na dada zetu ziro brains hawa alikuwa wa kawaida sana....na asingekuwa na zari tayari hamorapa angeshamfunika mbaya.
Ujio wa zari ndio uliobadilisha maisha ya domo...

kampa exposure na kamjengea confidence kama mwanamme kwa kumzalia na kama mfanaya biashara kam brand.

Tuwe wakweli tuu...zari katengeneza almost a billion tshs kwenye single event ya zari all white party....ni mwanamke gani wa domo mwenye akili hizo?....zari kichwa inafikiri zaidi ya mashine...

achana na hawa wanaolipiwa tickets wakaliwe kiboga dubai wakipata mimba wanakimbilia mahakamani kuomba child support....TRUTH BE TOLD...NOW OR LATER.
ungemsifu zari bila kumuita Hamisa malaya ingependeza.btn zari Ana akili ya Maisha ila kwa umalaya kamzidi Hamisa.
 
Ngoja Nivute na kiti kabisa nishuhudie nani atashinda hii ligi
 
Hamisa anapatikana viunga vipi wakuu na mm nikaongeze watoto huku duniani...

Hivi Hamis alisha zaa na Ney Wa Mitengo???..
 
Hamisa anapatikana viunga vipi wakuu na mm nikaongeze watoto huku duniani...

Hivi Hamis alisha zaa na Ney Wa Mitengo???..


No man, ye mwenyewe ndio anaitwa Hamisa wa Mitego.
 
Jamani haka kabint sikaelewi we mtoto anamiezi 3 inapuyanga hata maziwa ya mama hayafaidi mabibi.pole bibi Dylan
 
Back
Top Bottom