But she is everything in his life....rejea kutembea kwa magoti dar to sauzi....
hakuna shujaa wa vita anayeweza kushinda vita iwapo nyumbani ana ugomvi na mkewe....domestic peace brings success to a strugling man.
zari kabeba 90% ya mafanikio ya domo...alipokuwa na dada zetu ziro brains hawa alikuwa wa kawaida sana....na asingekuwa na zari tayari hamorapa angeshamfunika mbaya.
Ujio wa zari ndio uliobadilisha maisha ya domo...
kampa exposure na kamjengea confidence kama mwanamme kwa kumzalia na kama mfanaya biashara kam brand.
Tuwe wakweli tuu...zari katengeneza almost a billion tshs kwenye single event ya zari all white party....ni mwanamke gani wa domo mwenye akili hizo?....zari kichwa inafikiri zaidi ya mashine...
achana na hawa wanaolipiwa tickets wakaliwe kiboga dubai wakipata mimba wanakimbilia mahakamani kuomba child support....TRUTH BE TOLD...NOW OR LATER.