Hamjambo nyie vijana wa CAF Champion League

Hamjambo nyie vijana wa CAF Champion League

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Simba sc na pacha wake Young African SC

Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.

Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.

Ninyi ni MAPACHA HASWA.

Mmecheza michezo 3

Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.

Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?

Je, makundi magumu?

Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?

Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?

Au ndio au au au au au au au

Daaah! Au basi.
 
Unafanya sajili mbovu unategemea nini kwenye haya mashindano zaidi ya kuwa msindikizaji tu miaka nenda miaka rudi? Unaenda champion league una strikers mbovu kama mzize na musonda unategemea miujiza gani?
 
Hata hufatilii mpira, nenda jukwaa la akina zuchu huko kunakufaa. Mechi nne za nyoko! Tumecheza mechi tatu kijana Kama hujui sio lazima kuanzisha Uzi kaa soma tunazoziandaa
 
Oooh. Ni kweli kijana wa mkiani.
Ngoja niweke mambo sawa.

Heee kwanini mechi 3 ukae mkiani tuanzie hapo kwanza
 
Unafanya sajili mbovu unategemea nini kwenye haya mashindano zaidi ya kuwa msindikizaji tu miaka nenda miaka rudi? Unaenda champion league una strikers mbovu kama mzize na musonda unategemea miujiza gani?
Sawa sajili mbovu mbona huwa tunaumiliki mchezo kwa dakika 90
 
Hata hufatilii mpira, nenda jukwaa la akina zuchu huko kunakufaa. Mechi nne za nyoko! Tumecheza mechi tatu kijana Kama hujui sio lazima kuanzisha Uzi kaa soma tunazoziandaa
Oooh. Ni kweli kijana wa mkiani.
Ngoja niweke mambo sawa.

Heee kwanini mechi 3 ukae mkiani tuanzie hapo kwanza
 
Oooh. Ni kweli kijana wa mkiani.
Ngoja niweke mambo sawa.

Heee kwanini mechi 3 ukae mkiani tuanzie hapo kwanza
Kukaa mkiani ni suala la muda tu kijana. Mbona wydad alicheza mechi mbili akawa na point zero kwahiyo ni nafasi ya muda tu lakini utashangaa baada ya round two kuanza.
 
Unafanya sajili mbovu unategemea nini kwenye haya mashindano zaidi ya kuwa msindikizaji tu miaka nenda miaka rudi? Unaenda champion league una strikers mbovu kama mzize na musonda unategemea miujiza gani?
Mbona wydad jana ndio kupata pointi 3 na goli moja. Vipi naye usajili wake mbovu!?
 
Kukaa mkiani ni suala la muda tu kijana. Mbona wydad alicheza mechi mbili akawa na point zero kwahiyo ni nafasi ya muda tu lakini utashangaa baada ya round two kuanza.
Ahaa kwahiyo kuna siku unahisi utakuja kutoka hapo mkiani
 
Simba sc na pacha wake Young African SC

Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.

Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.

Ninyi ni MAPACHA HASWA.

Mmecheza michezo 3

Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.

Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?

Je, makundi magumu?

Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?

Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?

Au ndio au au au au au au au

Daaah! Au basi.
Wewe akili mbofumbofu wanasema 🦁ana mtakia mabaya mwana🏃
 
Back
Top Bottom