Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
- #21
AhaaaaaaaWewe akili mbofumbofu wanasema š¦ana mtakia mabaya mwanaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhaaaaaaaWewe akili mbofumbofu wanasema š¦ana mtakia mabaya mwanaš
Unayo hayo Mavi?
Matambo mengi sana,ila kuhusu marefa hapo ndiyo patamu marefa mnawapokea nyie mnashindwa kuwachabgamsha akili na mwili? Wachawi wa kwenu km wapo hahaha uwanja wa mkapa wa kwenu pia halafu mnapigwa kweliSimba sc na pacha wake Young African SC
Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.
Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.
Ninyi ni MAPACHA HASWA.
Mmecheza michezo 3
Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.
Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?
Je, makundi magumu?
Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?
Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?
Au ndio au au au au au au au
Daaah! Au basi.
Mimi naamini timu zote mbili Simba na Yanga zitafuzu kuingia robo fainali. Kwani japo wana point chache lakini performance yao uwanjani siyo mbaya wana uwezo wa kufanya vizuri kwenye michezo ijayo.Simba sc na pacha wake Young African SC
Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.
Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.
Ninyi ni MAPACHA HASWA.
Mmecheza michezo 3
Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.
Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?
Je, makundi magumu?
Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?
Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?
Au ndio au au au au au au au
Daaah! Au basi.