Hamjambo nyie vijana wa CAF Champion League

Hamjambo nyie vijana wa CAF Champion League

Simba sc na pacha wake Young African SC

Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.

Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.

Ninyi ni MAPACHA HASWA.

Mmecheza michezo 3

Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.

Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?

Je, makundi magumu?

Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?

Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?

Au ndio au au au au au au au

Daaah! Au basi.
Matambo mengi sana,ila kuhusu marefa hapo ndiyo patamu marefa mnawapokea nyie mnashindwa kuwachabgamsha akili na mwili? Wachawi wa kwenu km wapo hahaha uwanja wa mkapa wa kwenu pia halafu mnapigwa kweli
 
Simba sc na pacha wake Young African SC

Ninyi ni timu bora na kongwe kwa Tanzania. Zinauwekezaji mkubwa na mashabiki wengi kwa Tanzania kuliko timu yoyote ile.

Wote mumeingia makundi kwa pamoja na wote matokeo yenu yanafanana.

Ninyi ni MAPACHA HASWA.

Mmecheza michezo 3

Mkatoa sare 2 na mkafungwa 1.

Pia wote wawili mmefungwa na mwarabu tena wote mmefungwa huku mchezo mkiumiliki kwa dakika 90.
Haya matwins mtuambie shida nini mpaka sasa mue mkiani?

Je, makundi magumu?

Au MAREFA wanawahujumu sana kwa kuchoshwa na matambo yenu?

Au bado mnanafasi kwenye michezo 3 iliyobaki?

Au ndio au au au au au au au

Daaah! Au basi.
Mimi naamini timu zote mbili Simba na Yanga zitafuzu kuingia robo fainali. Kwani japo wana point chache lakini performance yao uwanjani siyo mbaya wana uwezo wa kufanya vizuri kwenye michezo ijayo.
 
Back
Top Bottom